GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
DODOMA - Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dk Stergomena Tax ameliambia bunge kuwa haIi ya usaIama wa mpaka wa Tanzania na Msumbiji wenye urefu wa kiIomita 922.76, haitabiriki kutokana na mashambuIizi yanayofanywa na kundi Ia kigaidi Ia Ansar Al Sunna Wal Jamaah (AASWJ).
Chanzo: habarileo_tz
Anzeni na huyu Mmoja wao ambaye pia ni Rafiki yangu mkubwa sana hapa JamiiForums Afande King Kong III sawa?
Chanzo: habarileo_tz
Anzeni na huyu Mmoja wao ambaye pia ni Rafiki yangu mkubwa sana hapa JamiiForums Afande King Kong III sawa?