Dkt. Stergomena Tax: Hali ya usaIama wa mpaka wa Tanzania na Msumbiji haitabiriki

Dkt. Stergomena Tax: Hali ya usaIama wa mpaka wa Tanzania na Msumbiji haitabiriki

Hao wajeshi wanaopiga raia wema si waende huko. Kazi kugombea mademu tu Unakuta mjeshi anakitambi kama yule mimba nyimba za maombolezo/misiba.

Unajiuliza huyu mjeshi VP
 
Unaposema hali haitabiriki maana yake tayari wamo ndani mwako unahofia ukishusha mguu nyoka anakugonga tokea chini ya sofa au kitanda. Wasicheke na nyani wasije vuna mabua.

Operation iwe kali kama kule kibiti/mkuranga
Lord denning
FaizaFoxy
Sir John Roberts
Ritz
Na ansar sunnah wote walioko humu
Bila kumsahau yule mzee anayejitapa kuandika upya historia ya Tanganyika
 
Magaidi wa Msumbiji wapo msituni wanavamia vijijiji na kuua raia au ukipita na gari wanakuzuia na kukuteka huko...wiki kadhaa zilizopita wamevamia baadhi ya vijiji huko Msumbiji ndio maana Waziri katoa kauli hii..
Mipango na mbinu zote kabla ya kwenda misituni huanzia kwenye misikiti ama vyuo vya kidini,kipindi cha mauaji ya kibiti walikua na kambi ya silaha moja kati ya misikiti rufiji,isingekua inteligensia ya kunasa mmoja mmoja ingekua ngumu sana kuimaliza yale mauaji.
 
Ndio maana wajeda wanapelekwa sana kule Mkenda, kumbe hali haiko vizuri.

Ila msumbiji jaman wale wamesha zoea vita, wananchi wao wanaona kawaida tyuu. Lol
 
Southern Tanzania, ni chini ya 1000km to Dar es salaam na unahitaji kuvuka mikoa miwili kufikia Dar es salaam, Mtwara na Lindi ni Miji ya Bandari.

RPF wako huko pia lakini pia kuna investment za Ufaransa huko.
Hizi sio project za week na siku mbili hapana bali ni projects za muda mrefu kwa watu wenye mipango ya muda mrefu.
M23 in DRC wako busy kidogo na wametuweka busy kidogo huko while RPF wako kusini wakilinda amani.

Nimekumbuka war of the midway, Japs Vs Yankees pale Pacific, initial fake punch ya Japs ilikuwa attacking America from Alaska.
Adui yuko mlangoni.
"I will hit at the right time and place".
Project no ________.

Huhitaji kuwa code cracker au senior officer kuelewa, bila shaka imeeleweka.
Umeandika Nini???
 
Mipango na mbinu zote kabla ya kwenda misituni huanzia kwenye misikiti ama vyuo vya kidini,kipindi cha mauaji ya kibiti walikua na kambi ya silaha moja kati ya misikiti rufiji,isingekua inteligensia ya kunasa mmoja mmoja ingekua ngumu sana kuimaliza yale mauaji.
Nyumba za Ibada zote zinatakiwa ziwe na mtu wa usalama. Asiye mwana Dini.
 
Back
Top Bottom