GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kaa mkao wa kula uandae mapanga shaaa lo magaidi wakituvamia tu 👊🕺
na hata maiti na majeruhi wengi tu kutoka huko zinaonekana au wanaonekana katika moja ya hospitali yao kubwaKuna Siri kubwa sana,kwa kinacho endelea uko.
Siyo kila siku kusifiana kwa sifa za uongo....Kaa mkao wa kula uandae mapanga shaaa lo magaidi wakituvamia tu 👊🕺
Kambi zitakuwepo tu kwa mazingira ayo.... Ila km 900+sio mchezo asa kama ni pori...Wapeleke kambi huko mipakani wapungue huko Lugalo mjini na baadhi ya kambi zingine wakafanye kazi za Kitaifa...
Waende maporini huko ndio sehemu sahihi kwao Mkuu..Kambi zitakuwepo tu kwa mazingira ayo.... Ila km 900+sio mchezo asa kama ni pori...
Kabisa waache kugombea madem hukuWaende maporini huko ndio sehemu sahihi kwao Mkuu..
Kuna Kambi kubwa na ya zamani sana pale NachingweaWapeleke kambi huko mipakani wapungue huko Lugalo mjini na baadhi ya kambi zingine wakafanye kazi za Kitaifa...
Wanafanya mazoezi mjini ya kukimbia waende huko porini maeneo ya Nchi yapo ya kumwaga huko ni kujikatia tu kama walivyojikatia Msata pale...Kabisa waache kugombea madem huku
Ova