MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Ninashauri kwa wale ambao wakisali hutamka Mungu wa Ibrahim, Shadrak, Meshak na Abednego, wanaweza kuondoa hayo majina na kutamka MUNGU WA MAMA SAMIA kwa sababu hao wengine hatujawaona ila Mama Samia tumemuona jinsi Mungu alivyombariki.