sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Samahani mkuu, najua wewe ni msomaji na mwelewa mzuri, pengine umeharakisha tu kujibu.Hivi nyie mnaposema mtu Ana mpunga mrefu
Ni Urefu upi?
Je ni mfanyabiashara? Ana kiwanda?
Ova
Angalia masahihisho ya comma.Kumbe wewe ni Demu,ndio nimejua leo
Tulia gia kubwa.Hata sielewi elewi, Mara aige style ya sugu ya kuletewa fomu tena mara mbili (mara ya kwanza wazee wa mila na mara ya pili tena akarudia kwa kuchangiwa pesa na wengine) sasa tena kaona aende na mumewe😀😀, Wananchi wa mbeya sio vipofu mara moja inatosha tu kama mbunge wetu huyu wa sasa (sugu) alivyofanya, Mbunge wetu wa milele sugu yupo mioyoni mwetu ila tunamshukuru pia dada tulia kwa kusaidia saidia wana mbeya, aendelee ma moyo huo huo hata tutapomchagua sugu
Hakika comrade
Best comment ya thread 🏆Hakuyaona maendeleo miaka 60 ndio muyaone kwa sababu ya Tulia Akson?
Kwani waliochagua ccm miaka 60 yote wana maendeleo gani zaidi ya ambao hawakuchagua ccm?
Chato imechagua Magufuli na ccm miaka zaidi ya 60 lakini ni masikini ya kutupwa.
Chalinze wamechagua Kikwete na ccm miaka 60 ufukara unawaua wanauza korosho njiani na kukimbilia magali kama mbwa.
Mtwara imekua na mkapa hata sasa uhakika wa kula milo 2 hawana.
Mkuranga imekua na mwinyi, kijana wake na ccm miaka 59 ya uhuru lakini ni masikini wa kutupwa.
Msoma vijijini wamekua na Nyerere miaka 25, akaja kina Wa rioba, Mkono lakini ni masikini wa kutupwa.
Sawa, subirini maendeleo.
Changamoto kubwa kwa dada huyu ni kwamba
1. katika ardhi hii iliyosheheni wasafwa ni ngumu sana yeye mnyakyusa kupita (nafhani walioishi mbeya wananielewa vizuri zaidi)
2. Jinsia ya kike bado watu wanaamini ni dhaifu kwa hapa mbeya.
3. Katika miaka hii mitatu dada katoa misaada mingi sana hili jimbo, za chini chini ni kwamba hii misaada ilikuwa ya kufanya watu wampemde, lakini hali imekuwa tofauti, Soko lilipoumgua la sido alichangia milioni 10 lakini leo hii ukienda pale sokoni wengi bado wanamkubali sugu (binadamu rahisi sana kusahau wema)
Ni changamoto zilizopitwa na wakati ila ndizo zitazomwangusha
Kwa haraka haraka anaweza kupata kura za watu wawili katika kumi wataopiga kura, SUGU ni habari nyingine
Na hizo pesa zote kapewa na mekoHuyo binti mwembamba kama kaungua anajijua kabisa hakubaliki na hatashinda, ndio maana kwa miaka takribani 3 ameshatumia more than one billion Tzshs kujibrand na hata hivyo kura atapata chache. Ila kwakuwa wakurugenzi wateule wanasikiliza amri za Magu basi atatangazwa huyo mtu mwenye sura adimu
Hakafai haka kamwanamke......nikikaangalia tabia zake na ndugai ni watu wenye akili zinazofanana za kulipeleka taifa kubaya zaidi .....Wanambeya msiwe sehemu ya dhambi hii ya kutupelekea huyu kidudumtu kwa kura zenu.....Hata sielewi elewi, Mara aige style ya sugu ya kuletewa fomu tena mara mbili (mara ya kwanza wazee wa mila na mara ya pili tena akarudia kwa kuchangiwa pesa na wengine) sasa tena kaona aende na mumewe😀😀, Wananchi wa mbeya sio vipofu mara moja inatosha tu kama mbunge wetu huyu wa sasa (sugu) alivyofanya, Mbunge wetu wa milele sugu yupo mioyoni mwetu ila tunamshukuru pia dada tulia kwa kusaidia saidia wana mbeya, aendelee ma moyo huo huo hata tutapomchagua sugu
MBONA HUYU MUME WAKE KISAIKOLOJIA HAYUPO VIZURI? NI KAMA KUNA KITU ANAKIHOFIA VILE. NI KAMA ANAJIONA HASTAHILI VILE, WAZUNGU HUSEMA NI INFERIORITY COMPLEX. AU NI MKE WA KUPIGA NAYE PICHA TU?Hatimaye Siku Tuliyoisubiri imewadia Mhe. Mbunge Wa Mbeya 2020-2025 Na Naibu Spika Dkt Tulia kachukua fomu ya kugombea Ubunge kilichobakia tunasubiri kuapishwa kwake mjengoni mwezi wa kumi na 11.
View attachment 1506787
HATIMAYE Aliyekuwa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano na Mbunge wa kuteuliwa,Mheshimiwa Dkt.Tulia Ackson ameonesha dhamiri yake yak taka kumn’goa Mbunge aliyemaliza muda wake wa jimbo la Mbeya Mjini,Joseph Mbilinyi alimaarufu “SUGU”.
Alikuwa ni majira ya saa 1.55 alfajiri Mheshimiwa huyo aliposhuka katika gari nambari za usajili T.675 Land Cruiser Prado Tx akiwa ameambatana na Mume wake James Mwanyekule na kuingia katika Ofisi za CCM Wilaya ya Mbeya na kupokelewa na Katibu wa Chama hicho Wilaya,Gervas Ndaki.
Saa 2.08 asubuhi leo Julai,14,2020 amekabidhiwa fomu hiyo baada ya kupata maelekezo na taratibu za chama cha Mapinduzi ambapo kwa sehemu kubwa kwa mara ya kwanza Mume wake Mheshimiwa huyo alitumia fursa hiyo kumpigia chapuo kuwa anayo maono ya Mkoa wa Mbeya na Taifa kwa ujumla hivyo wanambeya waitumie fursa hiyo ya kumtumia.
“Mimi siyo Mwanasiasa lakini siku zote za maisha yetu Mke wangu kipenzi amekuwa na ndoto na maono ya kuwatumikia wanambeya na watanzania wote kwa ujumla,name ninamuunga mkono na sote tumuunge mkono,amesema
Safari ya Tulia kuelekea kuwa Mbunge tena lakini kwa sasa kwa sura ya kupigiwa kura na wapiga kura wake imeanza leo rasmi(Julai,14,2020 majira ya saa 2.08 alfajiri)Mbeya wanahitaji Kiongozi bora na siyo bora Kiongozi.
KWELI KABISA NA MIMI NIMELIONA HILO. NI KAMA VILE MUME ANAJIONA YUPO CHINI NA ANAMSINDIKIZA KIGOGO. KWA UTAMADUNI WA KIAFRIKA ILIBIDI MUME NDIO ASINDIKIZWE. MWEEEEEE HUYU BABA NAMWONEA HURUMAA! ANALAMBA VIATU VYA MKEWEUkiwa na Jicho Kali na lililotukuka kabisa la Kisaikolojia ukimuangalia huyo Mumewe hapo nyuma utagundua kuwa ' anapelekeshwa ' hadi Huruma.
Mkuu hawa wezi siku hizi hawahitaji kura zozote.. mtangaza matokeo ni mtu wao, anatamka tuu kuwa flani wa ccm ameshinda, hata Kama ana kura 1 tuu ndo baas, anakuwa mshindi!Hauifahamu Mbeya wewe punguani wa ccm..
Unafikiri Mbeya mjini ni pakuiba-iba kura kama mnavyokwiba sehemu nyingine..
Ngoja utaona huyu BETINA atakavyogaragazwa na SUGU na hakuna hata kura moja mtakayoweza kuiba..
Chama Cha Majizi..CCM.