Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa IPU kwa kishindo, apata kura 172 kati ya 303

Wewe endelea na mibangi yako mpaka utakapoanza kuokota mimakopo majalalani
Huna faida hata kwenye maisha yako mwenyewe....umeijuwa lini CCM wewe kuwa na papara kiasi hicho kama mavi yakuharisha? Hilo lichama chakavu lina wenyewe , ndiwo wale wanateuliwa bila kwanika namba zawo za simu mitandaoni.Wewe baki na mavi yako ukishiba magimbi na parachichi huko kijijini kwenu.
 
Akili, za, CCM, hovyo kabisa, asilimia 56! Ndio kishindo?
Kwenye watu kumi, wanne hawakumpa kura! So pathetic
 
Kila la kheri zake... Ni macho yangu au ni kweli nimemuona January Makamba...
 
Tunaweka kumbukumbu sahihi. Kuwa Jimbo la Mbeya Mjini tumetoa Rais wa Mbunge yote duniani. Tofaut na Mbunge Mstaafu ambae watu wanadai hajui hata kuandika.
Nataka nijue kuwa wewe uliishia darasa la ngapi? Ulimalisa hata darada la nne au uliishia chekechea? Nauliza tu!
 
Dr Tulia ni Mtetezi wa wasio na sauti pia

kuna Waziri Mmoja Bungeni juzi alijipa kazi ya kuamua nyimbo ipi ina maadili na ipi haina maadili wakati wenye Mamlaka Basata wameiruhusu

alajikuta anawaonea Wakuu wa shule kwa kosa la Watoto kucheza nyimbo ambayo haijawahi kuzuiwa na Mamlaka husika
 
Tunaweka kumbukumbu sahihi. Kuwa Jimbo la Mbeya Mjini tumetoa Rais wa Mbunge yote duniani. Tofaut na Mbunge Mstaafu ambae watu wanadai hajui hata kuandika.
Sawa ila nawewe weka vyeti vyako hapa ili tutofautishe na mbunge wa zamani kuliko kumkashfu mtu kisa kukosa nidhamu kuwa wewe jitoto la kugombolewa.
 
Tunaweka kumbukumbu sahihi. Kuwa Jimbo la Mbeya Mjini tumetoa Rais wa Mbunge yote duniani. Tofaut na Mbunge Mstaafu ambae watu wanadai hajui hata kuandika.
Mabunge yote kama ili la Tanzania! Mambogani unatuletea wewe
 
Tunaweka kumbukumbu sahihi. Kuwa Jimbo la Mbeya Mjini tumetoa Rais wa Mbunge yote duniani. Tofaut na Mbunge Mstaafu ambae watu wanadai hajui hata kuandika.
πŸ’©πŸ’©πŸ’©
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…