Dkt. Tulia Ackson ateuliwa na CCM kugombea Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Itapigwa huko huko iliko sheria si zinatungwa bungeni

Ndio nasema tatizo mnahangaika na chadema Sana mpaka mnapambana hata asipokiwepo. Yani unatunga sheria ili tu kuiumiza CHADEMA na wala huwazi kwamba Bunge Ni chombo kinachowakilisha wananchi na sio kikao Cha chama Cha mapinduzi?. Endeleni kupambana na chadema kwa kuteka mihimili yote mwisho wa siku wananchi ndio wanaoumia kwa sheria mbovu, ikiwemo CCM wenyewe. Kama unabisha muulize Ndugai.
 
Ndio mtu aliyekuwa na sifa sahihi za kuwa speaker akifuatiwa na Zungu.

Kwa mara ya kwanza mama kapatia; nafasi ya speaker traditional ni ya mmbunge mwenye uzoefu wa kuendesha bunge.

Mengine ushabiki wa Kishamba; hakuna speaker asiyekuwa mmbunge duniani.
 
Nonsense!
Ila from CCM ilikuwa Tulia au Mwijaku, na iwe watakavyo, maigizo yaendelee
 
Hujanisoma
 
Chadema wamekereka sana....maana wanaujua moto wa Dr. sio wa mchezo mchezo.
Yaani Dr. KAJAAA TELE kwenye kiti....
Yaani anatosha na chenji inabaki.
 
Itapigwa huko huko iliko sheria si zinatungwa bungeni

Ndio nasema tatizo mnahangaika na chadema Sana mpaka mnapambana hata asipokiwepo. Yani unatunga sheria ili tu kuiumiza CHADEMA na wala huwazi kwamba Bunge Ni chombo kinachowakilisha wananchi na sio kikao Cha chama Cha mapinduzi?. Endeleni kupambana na chadema kwa kuteka mihimili yote mwisho wa siku wananchi ndio wanaoumia kwa sheria mbovu, ikiwemo CCM wenyewe. Kama unabisha muulize Ndugai.
Chaguo sahihi! CCM ni chemichemi yenye hazina kibao!!!

Hiyo hazina mbona haijawahi kuonekana?. Mimi tangu aunge mkono COVID 19 nilimtoa kwenye watu wa maana. Mtu yupo against haki huyo yupo kutengeneza CV na kula kwa urefu wa kamba zake.
 
Naona sirikali haitaki mtu wa kuweza kuisimamia ipasavyo
 
Chadema wamekereka sana....maana wanaujua moto wa Dr. sio wa mchezo mchezo.
Yaani Dr. KAJAAA TELE kwenye kiti....
Yaani anatosha na chenji inabaki.

Acha kusifia vitu visivyostahili sifa. Huyo kibaraka ana Moto gani?. Mnasifia kinafiki tuu mkijua CHADEMA haipo bungeni, na Sasa bunge litasimamiwa na serikali. Mtapata machungu zaidi ya tozo. Muulize mtesaji wa CHADEMA ndugai kilichomtokea.
 
Tutamshtaki kwa mwenye nchi ili amuondoe.

"Tanzania na vyote vijazavyo ni mali ya Mungu"
 
Huyu tayari anamgwaya hangaya, kwa hiyo hana jipya zaidi ya kuwekwa mfukoni.......ni kupotezeana muda tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…