Dkt. Tulia Ackson ateuliwa na CCM kugombea Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Dkt. Tulia Ackson ateuliwa na CCM kugombea Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Sifuri Ccm ni laana kwa nchi ,Sina faida nayo kamwe
mmechoma Hadi karume
Ngoja nikanye soda $h 600
 
hayo huwaga ni mawazo yenu tu hebu fikiria rais mpole mnyeynye kevukama samia naye mnamchukia sijui huwaga mnataka kiongozi wa aina gani awamu yatano mlikuwa mnalia na hii bado mnalia yaani hamueleweki mnapenda nini

Samiah gani? Huyu aliyekataa msamaha wa Ndugai. Mtu anakuomba msamaha kesho yake unamchamba kuwa anasumbuliwa na wivu.
 
Kweli kabisa, siku hizi kazi ya speaker Ni kuipiga kungfu CHADEMA. Ndio maana sheria za hovyo zinapitishwa bungeni baadae wanaanza kulalamika. Kwa bahati mbaya CHADEMA haipo bungeni, sijui ataipiga saa ngapi huyo kibaraka.
Itapigwa huko huko iliko sheria si zinatungwa bungeni
 
Hii inaitwa pindua meza kibabe. Anatoka mwenye cheo anawekwa makamu/naibu wake. -Rais; +Makamu, -Spika; +Naibu Spika************inaendelea????
 
Hii kesi Tundu Lissu hatakuja kuisahau maisha yake yote
Jaji alitumia dak 5 tano kutupilia mbali hoja za lissu baada ya kuridhishwa na kiapo kinzani toka kwa Dk Tulia

Mahakama zipi hizi za michongo?. Yani wewe unafurahia haki ya mwananchi kusubiria matokeo iondolewe. Halafu dakika tano zipi hizo?. Ulifuatilia mlolongo wa kesi au unaongea tu.
 
Bi hangaya naona sera ya kuzingatia jinsia kama alielewa vibaya maana too much bebez zinawekwa wekwa tu mwishoe atatuwekea na PM mwanamke
 
ushaona wapi ccm kuna gaidi? chadema ni mashetani mpaka magaidi wanao sasa nani mbaya kati ya ccm na chadema wenye magaidi?

Taja ugaidi walioufanya. Ugaidi Ni kumchomea mwananchi wakawaida soko lake ili umuondoe Mjini.
 
CCM kama kawaida yao kufanya maupuuzi upuuzi tu ilimradi liende
 
Back
Top Bottom