Dkt. Tulia asikitishwa na kuumizwa sana na kifo cha kada wa CHADEMA. Asema anakichukia Kifo

Dkt. Tulia asikitishwa na kuumizwa sana na kifo cha kada wa CHADEMA. Asema anakichukia Kifo

Utadhalilika muda mfupi sana ujao, endelea kulamba nyayo za Wauaji na Wachawi wenzio
Acha kuchafua majina ya watu wewe. Hakuna mtu kutoka upinzani mwenye ubavu wala uwezo wala nguvu ya kuweza kushindana na Dkt Tulia katika jimbo la Mbeya Mjini.Dkt Tulia ndio mwenye hati miliki ya jimbo.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Huu ni ujumbe wa speaker wetu wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Mbunge wa Mbeya Mjini na ambaye pia ndiye Rais wa umoja wa Mabunge Duniani Mheshimiwa Daktari Tulia Ackson Mwansasu.

Naweka ujumbe wake kama ulivyo bila kuongeza neno wala nukta.

Lakini kwa msioelewa kiingereza vizuri ni kuwa amemaanisha ya kuwa anakichukia kifo yaani I hate Death. Lakini pia akasema kuwa kwa yeyote aliyeshiriki au kuhusika na kukatisha uhai au maisha yako atalipa gharama. Neno Partook ni sawa na neno involved yaani aliyeshiriki au kuhusika katika kifo hicho kwa hakika atalipa gharama au waweza sema atawajibika yaani vyovyote vile unavyoweza kusema,ndio maana ya maneno Surely should pay Dearly.
View attachment 3091984


Pia Soma
- Spika wa Bunge la Tanzania kwa heshima yake alitakiwa ajiuzulu, analidhalilisha bunge

- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
Huyo si ndiye sliyekataa kujadili swala la watu kutekwa na kuuawa siku ile mbunge aliyetoa hoja sasa iv ana sababu gani ya kusema hayo
 
Ndugu zangu Watanzania,

Huu ni ujumbe wa speaker wetu wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Mbunge wa Mbeya Mjini na ambaye pia ndiye Rais wa umoja wa Mabunge Duniani Mheshimiwa Daktari Tulia Ackson Mwansasu.

Naweka ujumbe wake kama ulivyo bila kuongeza neno wala nukta.

Lakini kwa msioelewa kiingereza vizuri ni kuwa amemaanisha ya kuwa anakichukia kifo yaani I hate Death. Lakini pia akasema kuwa kwa yeyote aliyeshiriki au kuhusika na kukatisha uhai au maisha yako atalipa gharama. Neno Partook ni sawa na neno involved yaani aliyeshiriki au kuhusika katika kifo hicho kwa hakika atalipa gharama au waweza sema atawajibika yaani vyovyote vile unavyoweza kusema,ndio maana ya maneno Surely should pay Dearly.
View attachment 3091984


Pia Soma
- Spika wa Bunge la Tanzania kwa heshima yake alitakiwa ajiuzulu, analidhalilisha bunge

- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
nashindwa hata kuandika,yeye mzuri sana hawezi kufa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Huu ni ujumbe wa speaker wetu wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Mbunge wa Mbeya Mjini na ambaye pia ndiye Rais wa umoja wa Mabunge Duniani Mheshimiwa Daktari Tulia Ackson Mwansasu.

Naweka ujumbe wake kama ulivyo bila kuongeza neno wala nukta.

Lakini kwa msioelewa kiingereza vizuri ni kuwa amemaanisha ya kuwa anakichukia kifo yaani I hate Death. Lakini pia akasema kuwa kwa yeyote aliyeshiriki au kuhusika na kukatisha uhai au maisha yako atalipa gharama. Neno Partook ni sawa na neno involved yaani aliyeshiriki au kuhusika katika kifo hicho kwa hakika atalipa gharama au waweza sema atawajibika yaani vyovyote vile unavyoweza kusema,ndio maana ya maneno Surely should pay Dearly.
View attachment 3091984


Pia Soma
- Spika wa Bunge la Tanzania kwa heshima yake alitakiwa ajiuzulu, analidhalilisha bunge

- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
Ila wewe utakuwa wakala wa wachawi
 
nashindwa hata kuandika,yeye mzuri sana hawezi kufa
Bila shaka hujaelewa lugha ya kiingereza iliyotumika hapo na ndio maana umekurupuka kujibu.hata hivyo nime utafsiri ujumbe wake kwa lugha ya kiswahili ili kuwasaidia watu aina yako
 
Hana moral authority ya kusema huo upumbavu hapo juu maana aliuzuia huu mjadala pengine haya yasingetokea kama angeliuruhusu ule mjadala.
 
Hana moral authority ya kusema huo upumbavu hapo juu maana aliuzuia huu mjadala pengine haya yasingetokea kama angeliuruhusu ule mjadala.
Bungeni kuna taratibu zake ya namna ya kuwasilisha jambo la dharura na namna jambo hilo linavyopswa kuwa ili kuweza kukubaliwa na kujadiliwa kwa kuahirisha shughuli zingine za bunge zilizokuwa katika ratiba.
 
Bungeni kuna taratibu zake ya namna ya kuwasilisha jambo la dharura na namna jambo hilo linavyopswa kuwa ili kuweza kukubaliwa na kujadiliwa kwa kuahirisha shughuli zingine za bunge zilizokuwa katika ratiba.
Nitolee ujinga hapa
 
Bila shaka hujaelewa lugha ya kiingereza iliyotumika hapo na ndio maana umekurupuka kujibu.hata hivyo nime utafsiri ujumbe wake kwa lugha ya kiswahili ili kuwasaidia watu aina yako
Tatizo wewe unajitumikisha vibaya, si alikata kujadili hoja ya utekaji bungeni?anatafuta nini tena?
 
Back
Top Bottom