Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utadhalilika muda mfupi sana ujao, endelea kulamba nyayo za Wauaji na Wachawi wenzioUtasubiri sana ndugu yangu.si ni wewe uliniambiaga kuwa kufikia mwezi wa 11 mwaka 2022 nitakuwa nimepotea na kukimbia humu jukwaani? Au umesahau maneno hayo? Je ni mwezi wa ngapi huu? Ni mwaka gani huu?
Acha kuchafua majina ya watu wewe. Hakuna mtu kutoka upinzani mwenye ubavu wala uwezo wala nguvu ya kuweza kushindana na Dkt Tulia katika jimbo la Mbeya Mjini.Dkt Tulia ndio mwenye hati miliki ya jimbo.Utadhalilika muda mfupi sana ujao, endelea kulamba nyayo za Wauaji na Wachawi wenzio
CCM ndio tumaini la wanyonge.Ccm kwa dramaš
Ameumia sana Dada yangu na ndio maana unaona namna alivyoandika kwa hisia kali na uchungu wa hali ya juu sana.Abubujikwa na machozi
Huyo si ndiye sliyekataa kujadili swala la watu kutekwa na kuuawa siku ile mbunge aliyetoa hoja sasa iv ana sababu gani ya kusema hayoNdugu zangu Watanzania,
Huu ni ujumbe wa speaker wetu wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Mbunge wa Mbeya Mjini na ambaye pia ndiye Rais wa umoja wa Mabunge Duniani Mheshimiwa Daktari Tulia Ackson Mwansasu.
Naweka ujumbe wake kama ulivyo bila kuongeza neno wala nukta.
Lakini kwa msioelewa kiingereza vizuri ni kuwa amemaanisha ya kuwa anakichukia kifo yaani I hate Death. Lakini pia akasema kuwa kwa yeyote aliyeshiriki au kuhusika na kukatisha uhai au maisha yako atalipa gharama. Neno Partook ni sawa na neno involved yaani aliyeshiriki au kuhusika katika kifo hicho kwa hakika atalipa gharama au waweza sema atawajibika yaani vyovyote vile unavyoweza kusema,ndio maana ya maneno Surely should pay Dearly.
View attachment 3091984
Pia Soma
- Spika wa Bunge la Tanzania kwa heshima yake alitakiwa ajiuzulu, analidhalilisha bunge
- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
nashindwa hata kuandika,yeye mzuri sana hawezi kufaNdugu zangu Watanzania,
Huu ni ujumbe wa speaker wetu wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Mbunge wa Mbeya Mjini na ambaye pia ndiye Rais wa umoja wa Mabunge Duniani Mheshimiwa Daktari Tulia Ackson Mwansasu.
Naweka ujumbe wake kama ulivyo bila kuongeza neno wala nukta.
Lakini kwa msioelewa kiingereza vizuri ni kuwa amemaanisha ya kuwa anakichukia kifo yaani I hate Death. Lakini pia akasema kuwa kwa yeyote aliyeshiriki au kuhusika na kukatisha uhai au maisha yako atalipa gharama. Neno Partook ni sawa na neno involved yaani aliyeshiriki au kuhusika katika kifo hicho kwa hakika atalipa gharama au waweza sema atawajibika yaani vyovyote vile unavyoweza kusema,ndio maana ya maneno Surely should pay Dearly.
View attachment 3091984
Pia Soma
- Spika wa Bunge la Tanzania kwa heshima yake alitakiwa ajiuzulu, analidhalilisha bunge
- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
Ila wewe utakuwa wakala wa wachawiNdugu zangu Watanzania,
Huu ni ujumbe wa speaker wetu wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Mbunge wa Mbeya Mjini na ambaye pia ndiye Rais wa umoja wa Mabunge Duniani Mheshimiwa Daktari Tulia Ackson Mwansasu.
Naweka ujumbe wake kama ulivyo bila kuongeza neno wala nukta.
Lakini kwa msioelewa kiingereza vizuri ni kuwa amemaanisha ya kuwa anakichukia kifo yaani I hate Death. Lakini pia akasema kuwa kwa yeyote aliyeshiriki au kuhusika na kukatisha uhai au maisha yako atalipa gharama. Neno Partook ni sawa na neno involved yaani aliyeshiriki au kuhusika katika kifo hicho kwa hakika atalipa gharama au waweza sema atawajibika yaani vyovyote vile unavyoweza kusema,ndio maana ya maneno Surely should pay Dearly.
View attachment 3091984
Pia Soma
- Spika wa Bunge la Tanzania kwa heshima yake alitakiwa ajiuzulu, analidhalilisha bunge
- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
Bila shaka hujaelewa lugha ya kiingereza iliyotumika hapo na ndio maana umekurupuka kujibu.hata hivyo nime utafsiri ujumbe wake kwa lugha ya kiswahili ili kuwasaidia watu aina yakonashindwa hata kuandika,yeye mzuri sana hawezi kufa
Hapana.mimi.ni mtu mwenye upendo na uzalendo kwa Taifa languIla wewe utakuwa wakala wa wachawi
Bungeni kila kitu kina utaratibu wake na kanuni zake.Huyo si ndiye sliyekataa kujadili swala la watu kutekwa na kuuawa siku ile mbunge aliyetoa hoja sasa iv ana sababu gani ya kusema hayo
CHADEMA huwa mnadhani Mungu ni kada wa chama chenu... Mungu ni wa wote na hapangiwi. Acheni utoto.Kwanza siwezi kumchagua mtu mjinga na Mchawi kuwa Spika, na Wauaji hawana nafasi, labda kama hakuna Mungu
Muda utaongea na tutarudi hapa hapa jf kukumbushana
Bungeni kuna taratibu zake ya namna ya kuwasilisha jambo la dharura na namna jambo hilo linavyopswa kuwa ili kuweza kukubaliwa na kujadiliwa kwa kuahirisha shughuli zingine za bunge zilizokuwa katika ratiba.Hana moral authority ya kusema huo upumbavu hapo juu maana aliuzuia huu mjadala pengine haya yasingetokea kama angeliuruhusu ule mjadala.
Nitolee ujinga hapaBungeni kuna taratibu zake ya namna ya kuwasilisha jambo la dharura na namna jambo hilo linavyopswa kuwa ili kuweza kukubaliwa na kujadiliwa kwa kuahirisha shughuli zingine za bunge zilizokuwa katika ratiba.
Wewe ndio toa ujinga wako hapa.Nitolee ujinga hapa
Tatizo wewe unajitumikisha vibaya, si alikata kujadili hoja ya utekaji bungeni?anatafuta nini tena?Bila shaka hujaelewa lugha ya kiingereza iliyotumika hapo na ndio maana umekurupuka kujibu.hata hivyo nime utafsiri ujumbe wake kwa lugha ya kiswahili ili kuwasaidia watu aina yako
Ila....basi tuTatizo wewe unajitumikisha vibaya, si alikata kujadili hoja ya utekaji bungeni?anatafuta nini tena?