Dkt. Tulia asikitishwa na kuumizwa sana na kifo cha kada wa CHADEMA. Asema anakichukia Kifo

Dkt. Tulia asikitishwa na kuumizwa sana na kifo cha kada wa CHADEMA. Asema anakichukia Kifo

Ndugu zangu Watanzania,

Huu ni ujumbe wa speaker wetu wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Mbunge wa Mbeya Mjini na ambaye pia ndiye Rais wa umoja wa Mabunge Duniani Mheshimiwa Daktari Tulia Ackson Mwansasu.

Naweka ujumbe wake kama ulivyo bila kuongeza neno wala nukta.

Lakini kwa msioelewa kiingereza vizuri ni kuwa amemaanisha ya kuwa anakichukia kifo yaani I hate Death. Lakini pia akasema kuwa kwa yeyote aliyeshiriki au kuhusika na kukatisha uhai au maisha yako atalipa gharama. Neno Partook ni sawa na neno involved yaani aliyeshiriki au kuhusika katika kifo hicho kwa hakika atalipa gharama au waweza sema atawajibika yaani vyovyote vile unavyoweza kusema,ndio maana ya maneno Surely should pay Dearly.



Pia Soma
- Spika wa Bunge la Tanzania kwa heshima yake alitakiwa ajiuzulu, analidhalilisha bunge

- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
Huyo ni spika mnafikuna. Uzuri hata wananchi wameona unafiki wake na majizi menzake.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Huu ni ujumbe wa speaker wetu wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Mbunge wa Mbeya Mjini na ambaye pia ndiye Rais wa umoja wa Mabunge Duniani Mheshimiwa Daktari Tulia Ackson Mwansasu.

Naweka ujumbe wake kama ulivyo bila kuongeza neno wala nukta.

Lakini kwa msioelewa kiingereza vizuri ni kuwa amemaanisha ya kuwa anakichukia kifo yaani I hate Death. Lakini pia akasema kuwa kwa yeyote aliyeshiriki au kuhusika na kukatisha uhai au maisha yako atalipa gharama. Neno Partook ni sawa na neno involved yaani aliyeshiriki au kuhusika katika kifo hicho kwa hakika atalipa gharama au waweza sema atawajibika yaani vyovyote vile unavyoweza kusema,ndio maana ya maneno Surely should pay Dearly.



Pia Soma
- Spika wa Bunge la Tanzania kwa heshima yake alitakiwa ajiuzulu, analidhalilisha bunge

- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko

Uhuni tu huo.

Mbona alikataa mjadala Bungeni...!!?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Huu ni ujumbe wa speaker wetu wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Mbunge wa Mbeya Mjini na ambaye pia ndiye Rais wa umoja wa Mabunge Duniani Mheshimiwa Daktari Tulia Ackson Mwansasu.

Naweka ujumbe wake kama ulivyo bila kuongeza neno wala nukta.

Lakini kwa msioelewa kiingereza vizuri ni kuwa amemaanisha ya kuwa anakichukia kifo yaani I hate Death. Lakini pia akasema kuwa kwa yeyote aliyeshiriki au kuhusika na kukatisha uhai au maisha yako atalipa gharama. Neno Partook ni sawa na neno involved yaani aliyeshiriki au kuhusika katika kifo hicho kwa hakika atalipa gharama au waweza sema atawajibika yaani vyovyote vile unavyoweza kusema,ndio maana ya maneno Surely should pay Dearly.



Pia Soma
- Spika wa Bunge la Tanzania kwa heshima yake alitakiwa ajiuzulu, analidhalilisha bunge

- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
 
Tulia mnafiki mkubwa.
Kuna mbunge alipeleka hoja kulitaka Bunge lijadili vitendo vya utekaji na mauaji, yeye kwa lugha ya kejeli kabisa, akasema hakuna utekeaji wala mauaji, ni hisia tu. Halafu eti aseme anaumizwa na kifo cha Ali Kibao? Labda yupo sahihi aliposema anaogopa kifo, akimaanisha kifo cha kwake mwenyewe lakini siyo vifo vya watu wengine.

Angekuwa ni mtu anayethamini maisha ya watu wengine asingezuia mjadala uliolenga kuongelea ushetani uliokuwa unaendelea.
 
Amesikitishwa baada ya mwenyekiti wake kusikitika?!!
Huyu spika ni mnafiki mkubwa. Angenyamaza tu, uovu wake na roho yake mbaya vinajulikana.

Na Rais asingetuma ujumbe kuwa amesikitishwa na hicho kifo, na yeye angekaa kimya.
 
Wakitukanwa wanasema tunawachukia.

Haka si kalikataa kujadili mambo ya utekaji Bungeni
 
Back
Top Bottom