Ww endelea kupiga upambe wenzako wakiuawa ipo siku itafika kwako utaelewa somo vizurAcha kuchafua majina ya watu wewe. Hakuna mtu kutoka upinzani mwenye ubavu wala uwezo wala nguvu ya kuweza kushindana na Dkt Tulia katika jimbo la Mbeya Mjini.Dkt Tulia ndio mwenye hati miliki ya jimbo.