Dkt. Tulia asikitishwa na kuumizwa sana na kifo cha kada wa CHADEMA. Asema anakichukia Kifo

Dkt. Tulia asikitishwa na kuumizwa sana na kifo cha kada wa CHADEMA. Asema anakichukia Kifo

Ndugu zangu Watanzania,

Huu ni ujumbe wa speaker wetu wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Mbunge wa Mbeya Mjini na ambaye pia ndiye Rais wa umoja wa Mabunge Duniani Mheshimiwa Daktari Tulia Ackson Mwansasu.

Naweka ujumbe wake kama ulivyo bila kuongeza neno wala nukta.

Lakini kwa msioelewa kiingereza vizuri ni kuwa amemaanisha ya kuwa anakichukia kifo yaani I hate Death. Lakini pia akasema kuwa kwa yeyote aliyeshiriki au kuhusika na kukatisha uhai au maisha yako atalipa gharama. Neno Partook ni sawa na neno involved yaani aliyeshiriki au kuhusika katika kifo hicho kwa hakika atalipa gharama au waweza sema atawajibika yaani vyovyote vile unavyoweza kusema,ndio maana ya maneno Surely should pay Dearly.



Pia Soma
- Spika wa Bunge la Tanzania kwa heshima yake alitakiwa ajiuzulu, analidhalilisha bunge

- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko

Si alisema nyooka naye pia akazuia mjadala wa watekaji na wauaji bungeni leo hii anatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Bora akae kimya na kuchekelea moyoni mwake.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Huu ni ujumbe wa speaker wetu wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Mbunge wa Mbeya Mjini na ambaye pia ndiye Rais wa umoja wa Mabunge Duniani Mheshimiwa Daktari Tulia Ackson Mwansasu.

Naweka ujumbe wake kama ulivyo bila kuongeza neno wala nukta.

Lakini kwa msioelewa kiingereza vizuri ni kuwa amemaanisha ya kuwa anakichukia kifo yaani I hate Death. Lakini pia akasema kuwa kwa yeyote aliyeshiriki au kuhusika na kukatisha uhai au maisha yako atalipa gharama. Neno Partook ni sawa na neno involved yaani aliyeshiriki au kuhusika katika kifo hicho kwa hakika atalipa gharama au waweza sema atawajibika yaani vyovyote vile unavyoweza kusema,ndio maana ya maneno Surely should pay Dearly.



Pia Soma
- Spika wa Bunge la Tanzania kwa heshima yake alitakiwa ajiuzulu, analidhalilisha bunge

- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
Wanafique wakubwa
 
Embu acha kuleta utoto wako hapa katika mambo yanayogusa hisia za watu.
Mimi na wewe nani analeta uhayawani.

Huyo mtu unayemfanyia uchawa alikataa hoja ya mbunge kujadili haya matukio ya utekaji na uuaji. Anachosikitika ni kitu gani?

Kwa taarifa yako, hiyo account ya x uliyoiquote siyo ya Tulia. Unajua kuwa yeye ni verified user.


Wewe ni miongoni mwa wanaofurahia mauaji haya
 
Ndugu zangu Watanzania,

Huu ni ujumbe wa speaker wetu wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Mbunge wa Mbeya Mjini na ambaye pia ndiye Rais wa umoja wa Mabunge Duniani Mheshimiwa Daktari Tulia Ackson Mwansasu.

Naweka ujumbe wake kama ulivyo bila kuongeza neno wala nukta.

Lakini kwa msioelewa kiingereza vizuri ni kuwa amemaanisha ya kuwa anakichukia kifo yaani I hate Death. Lakini pia akasema kuwa kwa yeyote aliyeshiriki au kuhusika na kukatisha uhai au maisha yako atalipa gharama. Neno Partook ni sawa na neno involved yaani aliyeshiriki au kuhusika katika kifo hicho kwa hakika atalipa gharama au waweza sema atawajibika yaani vyovyote vile unavyoweza kusema,ndio maana ya maneno Surely should pay Dearly.



Pia Soma
- Spika wa Bunge la Tanzania kwa heshima yake alitakiwa ajiuzulu, analidhalilisha bunge

- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
Mnafiq mkubwa huyo njiti ana ushetani mwingi sana
 
Ndugu zangu Watanzania,

Huu ni ujumbe wa speaker wetu wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Mbunge wa Mbeya Mjini na ambaye pia ndiye Rais wa umoja wa Mabunge Duniani Mheshimiwa Daktari Tulia Ackson Mwansasu.

Naweka ujumbe wake kama ulivyo bila kuongeza neno wala nukta.

Lakini kwa msioelewa kiingereza vizuri ni kuwa amemaanisha ya kuwa anakichukia kifo yaani I hate Death. Lakini pia akasema kuwa kwa yeyote aliyeshiriki au kuhusika na kukatisha uhai au maisha yako atalipa gharama. Neno Partook ni sawa na neno involved yaani aliyeshiriki au kuhusika katika kifo hicho kwa hakika atalipa gharama au waweza sema atawajibika yaani vyovyote vile unavyoweza kusema,ndio maana ya maneno Surely should pay Dearly.



Pia Soma
- Spika wa Bunge la Tanzania kwa heshima yake alitakiwa ajiuzulu, analidhalilisha bunge

- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
Nachukia unafiki;
 
Unapokuwa na Mamlaka ya kuweza kukemea damu kama hii isimwagike na unajitoa hofu ya Mungu, inapotokea tatizo Kama hili Utaulizwa ulifanya Nini Kwa kutumia nafasi Yako!? Lazima roho itauma, ndio kusema Majuto ni Mjukuu na damu Huwa inatafuta wa kumlilia!! Kumbuka ya Kaini (machozi yananitoka)
 
Huyu spika kichaa anasikitika Nini sasa.alisema bungeni haya mambo ya kutekwa hayapo Sasa anajifanya kuuumia Nini?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Huu ni ujumbe wa speaker wetu wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Mbunge wa Mbeya Mjini na ambaye pia ndiye Rais wa umoja wa Mabunge Duniani Mheshimiwa Daktari Tulia Ackson Mwansasu.

Naweka ujumbe wake kama ulivyo bila kuongeza neno wala nukta.

Lakini kwa msioelewa kiingereza vizuri ni kuwa amemaanisha ya kuwa anakichukia kifo yaani I hate Death. Lakini pia akasema kuwa kwa yeyote aliyeshiriki au kuhusika na kukatisha uhai au maisha yako atalipa gharama. Neno Partook ni sawa na neno involved yaani aliyeshiriki au kuhusika katika kifo hicho kwa hakika atalipa gharama au waweza sema atawajibika yaani vyovyote vile unavyoweza kusema,ndio maana ya maneno Surely should pay Dearly.



Pia Soma
- Spika wa Bunge la Tanzania kwa heshima yake alitakiwa ajiuzulu, analidhalilisha bunge

- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
Mbona alikataa utekaji kujadiliwa Bungeni. Uzuri Mungu anawaona kila mmoja ukweli wake kwa anayosema.
 
Nipo sirias
Narudia tena wewe kijana go to school . Una division four matokeo ya form 4 , you are a failure, kazi ya uchawa sio Rasmi. Kafanye mitihani ya QT , hutotoboa na div 4

Kichwa chako kimejaa UTOKO na takataka nyingi
Stop that and go to school
Huwezi hata kuandika neno serious , unategemea uteuzi we kiazi utatumika tu . One condom could have saved huu ujinga unaosambaza social media
 
jins alivopgwa spana huko jnstagram ataelewa kuwa watz wamechoka na wako tyr kwa lolote hatuna cha kupoteza tena
 
Back
Top Bottom