Ww endelea kupiga upambe wenzako wakiuawa ipo siku itafika kwako utaelewa somo vizurAcha kuchafua majina ya watu wewe. Hakuna mtu kutoka upinzani mwenye ubavu wala uwezo wala nguvu ya kuweza kushindana na Dkt Tulia katika jimbo la Mbeya Mjini.Dkt Tulia ndio mwenye hati miliki ya jimbo.
Hizo taratibu zinaruhusu watu kuuawa etiBungeni kila kitu kina utaratibu wake na kanuni zake.
Na ww n kichwa maji tu yaani watu wanakufa unaona fahari kutowasaidia unataka ufanye nnBungeni kuna taratibu zake ya namna ya kuwasilisha jambo la dharura na namna jambo hilo linavyopswa kuwa ili kuweza kukubaliwa na kujadiliwa kwa kuahirisha shughuli zingine za bunge zilizokuwa katika ratiba.
Nilikuambia wewe ni kiazi mviringo na hautoboi na uchawa. Nimeona matokeo yako ya form 4 una division 4 , nenda kasome , uchawa sio kazi Rasmi, bado unaendeleza uchawa wa kukimbia elimuNdugu zangu Watanzania,
Huu ni ujumbe wa speaker wetu wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Mbunge wa Mbeya Mjini na ambaye pia ndiye Rais wa umoja wa Mabunge Duniani Mheshimiwa Daktari Tulia Ackson Mwansasu.
Naweka ujumbe wake kama ulivyo bila kuongeza neno wala nukta.
Lakini kwa msioelewa kiingereza vizuri ni kuwa amemaanisha ya kuwa anakichukia kifo yaani I hate Death. Lakini pia akasema kuwa kwa yeyote aliyeshiriki au kuhusika na kukatisha uhai au maisha yako atalipa gharama. Neno Partook ni sawa na neno involved yaani aliyeshiriki au kuhusika katika kifo hicho kwa hakika atalipa gharama au waweza sema atawajibika yaani vyovyote vile unavyoweza kusema,ndio maana ya maneno Surely should pay Dearly.
View attachment 3091984
Pia Soma
- Spika wa Bunge la Tanzania kwa heshima yake alitakiwa ajiuzulu, analidhalilisha bunge
- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
Kwanza siwezi kumchagua mtu mjinga na Mchawi kuwa Spika, na Wauaji hawana nafasi, labda kama hakuna Mungu
Muda utaongea na tutarudi hapa hapa jf kukumbushana
Daah!..kazi imeanza tenaNilikuambia wewe ni kiazi mviringo na hautoboi na uchawa. Nimeona matokeo yako ya form 4 una division 4 , nenda kasome , uchawa sio kazi Rasmi, bado unaendeleza uchawa wa kukimbia elimu
Nakushauri nenda shule hii kazi hutoboi , ipo siku watakuteka na wewe na hakuna atakae sikitika
Lucas Nenda shule, kapige hata paper za QT , kichwa chako kimejaa utoko
Hautoboi
Hapana.Hizo taratibu zinaruhusu watu kuuawa eti
Mnasikitika nini sasa, na wakati hicho kikosi cha wauaji mnakimiliki nyinyi wenyewe! Unafiki siyo poa hata kidogo.
Si ndiyo huyu huyu aliyekataa hoja ya matukio ya utekaji isijadiliwe bungeni!
Manafiki sana huyu bibi. Sijui hata imekuwa je akawa kiongozi mkubwa mtu empty anayeenda na matukio kulinda status yake.Amesikitishwa baada ya mwenyekiti wake kusikitika?!!
Eti amesikitishwa na unatuma huu ujumbe kabisa 😂😂 huyu mama amekuwa na history mbaya sana kwa kushindwa kuisimamia serikali akiwa kama mkuu wa moja ya mhimili mkuu wa serikali unaosimamia check and balance ya utendaji wa serikali kuu.Ndugu zangu Watanzania,
Huu ni ujumbe wa speaker wetu wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Mbunge wa Mbeya Mjini na ambaye pia ndiye Rais wa umoja wa Mabunge Duniani Mheshimiwa Daktari Tulia Ackson Mwansasu.
Naweka ujumbe wake kama ulivyo bila kuongeza neno wala nukta.
Lakini kwa msioelewa kiingereza vizuri ni kuwa amemaanisha ya kuwa anakichukia kifo yaani I hate Death. Lakini pia akasema kuwa kwa yeyote aliyeshiriki au kuhusika na kukatisha uhai au maisha yako atalipa gharama. Neno Partook ni sawa na neno involved yaani aliyeshiriki au kuhusika katika kifo hicho kwa hakika atalipa gharama au waweza sema atawajibika yaani vyovyote vile unavyoweza kusema,ndio maana ya maneno Surely should pay Dearly.
View attachment 3091984
Pia Soma
- Spika wa Bunge la Tanzania kwa heshima yake alitakiwa ajiuzulu, analidhalilisha bunge
- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
Magufuli alituletea watu wa ajabu sana huyu aliopolewa tu chuoni akawa AG akapandapanda fasta tu ghafla akakutana na kismati cha uspika sasa haya ndio madhara yake.Manafiki sana huyu bibi. Sijui hata imekuwa je akawa kiongozi mkubwa mtu empty anayeenda na matukio kulinda status yake.
Hafai hata kidogo. Sad for our country.
Uwezo wake ndio unaombebaMagufuli alituletea watu wa ajabu sana huyu aliopolewa tu chuoni akawa AG akapandapanda fasta tu ghafla akakutana na kismati cha uspika sasa haya ndio madhara yake.
Kusoma mfululizo mpaka PhD haikupi uwezo kiasi hicho wa kufanya kazi. We know her japo siwezi kusema hajui alichosomea lakini uongozi sio PhD ndio maana anachemka pale anapohitajika kuchanganya elimu yake na uzoefu kwenye kutoa maamuzi yanayohitaji hekima ya kiti cha spika. Angalia akina Marehemu Sitta.Uwezo wake ndio unaombeba
Sema huyu nae atulie...Ndugu zangu Watanzania,
Huu ni ujumbe wa speaker wetu wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Mbunge wa Mbeya Mjini na ambaye pia ndiye Rais wa umoja wa Mabunge Duniani Mheshimiwa Daktari Tulia Ackson Mwansasu.
Naweka ujumbe wake kama ulivyo bila kuongeza neno wala nukta.
Lakini kwa msioelewa kiingereza vizuri ni kuwa amemaanisha ya kuwa anakichukia kifo yaani I hate Death. Lakini pia akasema kuwa kwa yeyote aliyeshiriki au kuhusika na kukatisha uhai au maisha yako atalipa gharama. Neno Partook ni sawa na neno involved yaani aliyeshiriki au kuhusika katika kifo hicho kwa hakika atalipa gharama au waweza sema atawajibika yaani vyovyote vile unavyoweza kusema,ndio maana ya maneno Surely should pay Dearly.
View attachment 3091984
Pia Soma
- Spika wa Bunge la Tanzania kwa heshima yake alitakiwa ajiuzulu, analidhalilisha bunge
- Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko
Guilty Conscience..inamtafuna.Ni mnafiki!
Kama alikataa Bungeni hoja ya kujadili Utekwaji na Upoteaji wa watu kwa lengo la kuilinda serikali anatuambiaje eti amechukizwa na mauaji ya Ally Kibao?
Unaongopa.Guilty Conscience..inamtafuna.
We mwehu acha uchokozi, watu wanahasira kwani mauaji si siasa ya kudhani aliyeuawa atarudi, hautakiwi huku kwa sasa ila wewe mbwakoko umeng'ang'ania tu!Kwani wewe ndio ulimchagua u speaker? Kama Dunia nzima imemkubali mpaka kumpa urais wa IPU wewe ni nani mpaka uzuie ushindi wake?