Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Ahahahahahahah!Ile mithali ya “nyani haoni kundule!” ina maanisha, unaweza kuona wenzako wapo gizani unajaribu kuwapeleka nuruni, kumbe mwenyewe ukawa gizani zaidi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahahahah!Ile mithali ya “nyani haoni kundule!” ina maanisha, unaweza kuona wenzako wapo gizani unajaribu kuwapeleka nuruni, kumbe mwenyewe ukawa gizani zaidi!
Wewe ndiye funga domo lako labda utaheshimika!Mkuu Bill bila usijiaibishe. Kama hujui, busara ni kukaa kimya kama wenzako wengi tu waliomo humu.
Hakuna Nabii wala Mwanafalsafa aliyewahi kuheshimika "during his/her time".Wewe ndiye funga domo lako labda utaheshimika!
Mama Dk Tulia Kachachamaa majukwaani Mbeya Mjini awajibu Lisu na Sugu kuhusu maendeleo ya vitu
Sasa wewe kapuku ni nabii?Hakuna Nabii wala Mwanafalsafa aliyewahi kuheshimika "during his/her time".
Hapana. Nabii ni yule anayetarajia kuwa Rais huku hana wabunge! Ahahahahahahah!Sasa wewe kapuku ni nabii?
Ila uunguana wa kawaida ni kukosoana bila kumundermine au kumuderrate mwenzako! Hata kwenye pointless kuna point!Ahahahahahahah!
Mkuu kwenye maendeleo zinatumika zaidi dhana mbili; Rostow's Stages of Development na Marxist Stages of Development kutegemea una mrengo gani kisiasa. Wote wanakubaliana kwamba Maendeleo ya Watu ndio hatua ya juu kabisa (High Mass Consumption kwa Rostow) na (Communism kwa Marxism) ya maendeleo ya mwanadamu.Ila uunguana wa kawaida ni kukosoana bila kumundermine au kumuderrate mwenzako! Hata kwenye pointless kuna point!
Kwa mfano, jamaa amesema kitu kizuri tu, kwamba hotel ya Sugu, ni maendeleo ya Mtu, yamepelekea kuwa na vitu! Lakini kwa ujumla hoja ya Lissu na wapinzani, ni kipi ni kipaumbele? Je, ujenzi wa flyovers unamsaidiaje mkulima wa Liwale? Ndege zinasaidiaje mwananchi wa kawaida? Kwanini serikali ijiingize kwenye biashara? Mbona serikali haina basi hata moja, lakini watu wanasafiri? Pia wapinzani wana hoji njia, methods, zilizotumika!!
Wamechanganyikiwa na return ya bukoba, sio kwa kuzomewa kuleHii video si ilikuwa ya jana mkuu, mbona hukuiweka? Au hukuiona
Ni ujinga kudhani una2eza kuendelea bila kuwa na miundo mbinu. Kama ni hivyo mchagueni Cheyo wa UDP. Yeye alikuwa anawajaza Mapesa mifukoni.Nikae kimya kwa lipi mkuu? Mtu anayeona Sugu kujenga hotel ni maendeleo ya vitu?
Usisahau Halima Mdee aliitwa Bi. Kidude mkamaindi sana!Huyu Bi Mkola kwao ni Rungwe, hapo mjini anatafuta nini?