Ni ujinga kudhani una2eza kuendelea bila kuwa na miundo mbinu. Kama ni hivyo mchagueni Cheyo wa UDP. Yeye alikuwa anawajaza Mapesa mifukoni.
Hawa wanasiasa wasifikiri kila mtu ni mpumbavu kiasi hicho kwamba, Haulimi, hauna uzalishaji unaowezeshwa na miundombinu halafu una hela, kwahiyo serkali iwe inawapelekea watu hela majumbani.
Huku wanasema hakuna ajira, ajira bila miundo mbinu utaipata wapi?
Yaani wote tuwe watumishi wa Umma, inawezekana?
Huku wanasema Kaua sector binafsi.
Wanadhani wote tunaelewa inaposemwa miundombinu inamaanisha reli, barabara na viwanja tu. SIO
Siko ssm yenu, sitapiga kura, kadi ipo, ILA Upinzani unaonyesha haujakomaa kupewa nchi.