Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia atema cheche Mbeya Mjini, awajibu Lissu na Sugu kuhusu maendeleo ya vitu watu wafurika mkutano wake

Mkuu umeshirikisha ubongo kweli?
 
Mkuu unaelewa kweli hoja ya wapinzani wanaposema maendeleo ya watu na siyo vitu? So maelezo yako hapo juu ndiyo wew umeelewa hivyo?
Kweli Tanzania wajinga ni wengi
 
Kwahiyo umeme wanatumia mbwa? Ndege wanapanda wanyama? Barabara wanapita mbuzi? Akili za wapi hizi unatumia!?
Kabla ya hizi ndege zenu tulikua tunapanda FastJet kwa bei pouwa tu! Tatizo siyo kununua ndege tu, lakini Kwanini serikali ijiingize kwenye biashara? Na kwenye ushindani sokoni unauwa wapinzani (kibiashara) kama hawa kina fastjet, ili utawale soko??! Mbona serikali haina basi hata moja, lakini tunasafiri kila leo?
 
Hapo ndio mnapofeli,sasa sura sijui umbile lake linahusiana vipi na nafasi anayogombea!? kwamba sugu handsome? acheni ubaguzi wa kimaumbile kwani aliyekuumba wewe ndiye aliyemuumba yeye
tofauti wazazi tu.wabagueni kwenye hoja
Failure inputs zinaanzaga hivyo,hata huyo Mbunge Sugu hapendezewi na tabia hiyo ya kunyayapaa wanawake.
Hivi anadhani wanawake warembo ndio anataka tu wampigie kura Sugu tu?Hajui kwa kauli za kijinga kama hizo zinaweza zikaangusha hata tembo?
Ni bora huyo jamaa afute usemi wake.
 
Mkuu unaelewa kweli hoja ya wapinzani wanaposema maendeleo ya watu na siyo vitu? So maelezo yako hapo juu ndiyo wew umeelewa hivyo?
Kweli Tanzania wajinga ni wengi
Soma kitabu cha Mdee , angalau ujue maendeleo aliyopeleka Kawe.
Halafu uje u comment
 
Jana nimekutana na watu wanaimba tulia ni hatari kuliko virus vya corona๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€at hafai kuwa kiongozi afu ni akina mama
 
Mbeya pagumu sana raia hawamtaki Tulia aka Betina hadi anaowapa rushwa wapiga debe wote wamevaa jezi zake lakini wanakwambia KULA kwa Tulia lakini KURA kwa sugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ