Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,631
- 3,527
Haiba, hulka, maono, mipango, mitazamo na utendaji wao una viashiria, sifa, vigezo na uelekeo wa nafasi za juu katika uongozi wa nchi. Hii ni kwa mujibu wa haki, maoni na mtazamo wangu huru kikatiba..
Nachelea kuwasihi wananchi na waTanzania wote kwa ujumla, kutafakari jambo hili muhimu sana kwa mustakabali wa ustawi wa Taifa letu, baada ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania kukamilisha ngwe yake ya pili uongozini 2025-2030...
Nje ya watajwa hao, ni kupoteza muda, nguvu na rasilimali tu π
Mungu Ibariki Tanzania
Ndiyo mfumo wenu wa wizi adhabu ni kutolewa na siyo kupelekwa mahakamani na kufilisiwa?ukiona Fulani hafai unaweka mbadala gentleman π
mnachelewaga wap na fikra tulivu na mbadala kama hizi ndrugu zango πππͺNi hakika kabisa,SEMA tu ni muhimu kubadili altitudes na focus ya namna ya kusaidia wananchi maskini ili umuhimu uliosema uwe wa vitendo.
Kila mtu ni hazina muhimu katika familia yake na Taifa kwa ujumla, haijalishi ni Kiongozi au mwananchi wa kawaida.
Muhimu jamii ikajielekeza kutengeneza kizazi kijacho kisichotegemea kusukumwa na Viongozi kujiletea maendeleo.
Sahivi mnatakiwa kuvaa uniform mpk uchaguzi upite 2025, Lucas yupo kwa fundi anasimamia uniform zenuhivi chairman alipovunjwa mguu BAWACHA wote mlikua palee?π
uniform ndio nini na zina umuhimu gani?Sahivi mnatakiwa kuvaa uniform mpk uchaguzi upite 2025, Lucas yupo kwa fundi anasimamia uniform zenu
Mkuu fikra sahihi na makini uja wakati sahihi,muhimu ni kuzingatia na kupanga mipango endelevu ya kukuza uchumi kuanzia kwenye familia zetu na Taifa ujumla.mnachelewaga wap na fikra tulivu na mbadala kama hizi ndrugu zango πππͺ
Hayo ni maelekezo kwa UWT woteuniform ndio nini na zina umuhimu gani?
nadhani fikra, mawazo, maoni, mtazamo huu mpya ni jambo muhimu na la maana zaidi kwa uelekeo na mustakabali wa ustawi wa Taifa letu la Kidemokrasia π
Kwa nini mkuu unajitoa kwamba sio hazina kwa taifa hili? mkuu unaniangusha ,anza na wewe mwenyewe sema naweza naweza kweli kulivusha taifa hiliHaiba, hulka, maono, mipango, mitazamo na utendaji wao una viashiria, sifa, vigezo na uelekeo wa nafasi za juu katika uongozi wa nchi. Hii ni kwa mujibu wa haki, maoni na mtazamo wangu huru kikatiba..
Nachelea kuwasihi wananchi na waTanzania wote kwa ujumla, kutafakari jambo hili muhimu sana kwa mustakabali wa ustawi wa Taifa letu, baada ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania kukamilisha ngwe yake ya pili uongozini 2025-2030...
Nje ya watajwa hao, ni kupoteza muda, nguvu na rasilimali tu π
Mungu Ibariki Tanzania
kwa mfano pale ufipa kuna moja mzalendo na mwingine kibaraka na wote wanawafuasi.Ndiyo mfumo wenu wa wizi adhabu ni kutolewa na siyo kupelekwa mahakamani na kufilisiwa?
UWT ni kipindi chenu cha mavunokwa mfano pale ufipa kuna moja mzalendo na mwingine kibaraka na wote wanawafuasi.
tayari hakuna anaekubali kushindwa...
mtafanyaje kutoka kwenye huo mkwamo?π
Gentleman,Kwa nini mkuu unajitoa kwamba sio hazina kwa taifa hili? mkuu unaniangusha ,anza na wewe mwenyewe sema naweza naweza kweli kulivusha taifa hili
UWT mnanufaika zaidini kama nyie BAWACHA tu baada ya vikao breki ya kwanza kwenye konyagi kubwa π
halafu kwenye jukwaa la mathink tank sikuonagi kabisa aise πMkuu fikra sahihi na makini uja wakati sahihi,muhimu ni kuzingatia na kupanga mipango endelevu ya kukuza uchumi kuanzia kwenye familia zetu na Taifa ujumla.
Mkuu, kupanga ni kuchagua,Tanzania ijayo itakuwa yenye neema kubwa sana,iwapo tu tutaamua kutenda kwa vitendo.
Ubusy tu Kazi Kiongozi,nikiwa napata nafasi nitakuwa najoin.halafu kwenye jukwaa la mathink tank sikuonagi kabisa aise π
naona maono ya kipekee ndani yako
Hana vyeti mkuu mi nina uhakika na ninachosema. Ndo mana hawezi kuajiriwa popote zaidi ya kutafuta huruma ya teuzi tumimi si mpotoshaji wala mzushi,
sina haja kubabaika na uongo π
nadhani orodha yangu imesheheni RAIS mwenye sifa zote 24 zilizoainishwa na muungwana kwenye linki uliyonijaalia πHuyu ndie Rais wa 2030 anayetafutwa
Tanzania inatafuta Rais bora zaidi ya wote kwa muhula wa 2030-40, Je vyama vyetu vya Siasa vitatupa wagombea tunaowataka sisi au kinyume chake? ==== 1. Rais ajae lazima awe ni mtu ambae ukiitazama staili yake ya maisha anayoishi ukihusianisha na hali na umasikini wa nchi yetu utakubaliana...www.jamiiforums.com