Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,631
- 3,527
Ni hakika kabisa,SEMA tu ni muhimu kubadili altitudes na focus ya namna ya kusaidia wananchi maskini ili umuhimu uliosema uwe wa vitendo.
Kila mtu ni hazina muhimu katika familia yake na Taifa kwa ujumla, haijalishi ni Kiongozi au mwananchi wa kawaida.
Muhimu jamii ikajielekeza kutengeneza kizazi kijacho kisichotegemea kusukumwa na Viongozi kujiletea maendeleo.
Kila mtu ni hazina muhimu katika familia yake na Taifa kwa ujumla, haijalishi ni Kiongozi au mwananchi wa kawaida.
Muhimu jamii ikajielekeza kutengeneza kizazi kijacho kisichotegemea kusukumwa na Viongozi kujiletea maendeleo.