Dkt. Tulia: Ripoti ya CAG itajadiliwa kwenye Mkutano Novemba, 2023
Ripoti ya CAG ilijaa madudu mengi na mpaka Mhe. Rais alichukia sana na kuahidi kuwa wale wote waliokutwa na ubadhirifu watachukuliwa hatua kali. Bunge letu pia iliahidi kuwa katika kikao cha Bunge cha mwezi Septemba ripoti hii itawekwa hadharani na wale wote watakokutwa na ubadhirifu watachukuliwa hatua. Mbona mpaka sasa mambo ni kimya au ndo wamesamehewa?. Nchi hii ..... iko kazi.
Hiyo imeenda mzee usitegemee positive response toka kwa bunge dhidi ya mauchafu toka kweny report ya CAG!!
 
Ripoti ya CAG ilijaa madudu mengi na mpaka Mhe. Rais alichukia sana na kuahidi kuwa wale wote waliokutwa na ubadhirifu watachukuliwa hatua kali. Bunge letu pia iliahidi kuwa katika kikao cha Bunge cha mwezi Septemba ripoti hii itawekwa hadharani na wale wote watakokutwa na ubadhirifu watachukuliwa hatua. Mbona mpaka sasa mambo ni kimya au ndo wamesamehewa?. Nchi hii ..... iko kazi.
Yashapita hayo, sasa tugange yajayo hakuna haja ya kufukua makaburi,maana yako mengi sana,utafukua lipi na utaacha lipi! Vilevile kuna makaburi mengine ukiyafukua Nchi itatetereka sana!!
 
Ripoti ya CAG ilijaa madudu mengi na mpaka Mhe. Rais alichukia sana na kuahidi kuwa wale wote waliokutwa na ubadhirifu watachukuliwa hatua kali.

Bunge letu pia iliahidi kuwa katika kikao cha Bunge cha mwezi Septemba ripoti hii itawekwa hadharani na wale wote watakokutwa na ubadhirifu watachukuliwa hatua.

Sasa mbona mpaka sasa mambo ni kimya au ndo wamesamehewa? Nchi hii ..... iko kazi.
Novemba
 
Back
Top Bottom