Ripoti ya CAG ilijaa madudu mengi na mpaka Mhe. Rais alichukia sana na kuahidi kuwa wale wote waliokutwa na ubadhirifu watachukuliwa hatua kali.
Bunge letu pia iliahidi kuwa katika kikao cha Bunge cha mwezi Septemba ripoti hii itawekwa hadharani na wale wote watakokutwa na ubadhirifu watachukuliwa hatua.
Sasa mbona mpaka sasa mambo ni kimya au ndo wamesamehewa? Nchi hii ..... iko kazi.