Dkt. Tulia suala la bandari hata wazee huzeeka na upumbavu wao

Dkt. Tulia suala la bandari hata wazee huzeeka na upumbavu wao

Tatizo la wa watu walionyimwa nyama mwilini. Sijui hata Mbeya walimchagua kwa kipi. So bogus
 
Ziro brain
Zero kla ktu ata bunge analoleendesha pia ni ziro ata wana mbeya walompa kula kia ni maziro kabsa
 
Dr. Slaa naona ndio mlengwa wa hoja ya kuzeeka hapa, ila bado hajajjibu hoja hata moja ya wazalendo wanaoupinga huu mkataba.
Kama ni kuelimisha nashangaa kwa nini hawaendi na huo mkataba wakachambua kifungu kwa kifungu!
 
Upo....

DP WORLD hawatojihusisha na mafuta....

DP WORLD hawatojihusisha na USALAMA babdarini....

DP WORLD hawatafukuza wafanyakazi waliowakuta na hawatoajiri wageni.....

Which Page?
Tungependa kusoma khs hilo ktk Mkataba.
Unless otherwise!
 
SPIKA wa Bunge, Tulia Akson amewajia juu watanzania waosema bandari imeuzwa na kubainisha kuwa Mtu mpumbavu anazeeka na upumbavu wake.
we maza kaa kimya, watanganyika wote tunajua hata robo ya kura za ubunge wako hukupata, mshukuru sana marehemu.
 
Back
Top Bottom