Hata sa hivi hakuna anaye pay attention kuiangalia low quality film ya vile. Ni wabongo tu tumerudishiwa mzigo wetu zingine ni porojo tu.Afu nani angepay attention kuona kazi yao Marekani ama Europe?.
Naam, Muislam nduguye ni Muislam mwenzie.Hapa Udini unao wewe Tu...Na unamtetea samia kwasababu zako Za kidini
Sawa, siku udini ukikuisha utajuaNaam, Muislam nduguye ni Muislam mwenzie.
Nyinyi mnamponda kwa Uislam wake tu, hakuna zaidi.
Hilo wala siyo siri.
Sasa huo udini uko wapi hapi hapo? Hajavunja rekodi ya Mtanzania kucheza ligi kuu ya Uingerezza?Mbwana Samatta avunja rekodi kedekede
Ma Shaa Allah. Kijana wetu amevunja rekodi zifatazo mpaka sasa. 1) Mtanzania wa kwanza kucheza Premier League ya Uingereza. 2) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League. 3) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League kwenye mechi ya kwanza. 4) Mtanzania wa kwanza kufunga...www.jamiiforums.com
Tatizo sio wewe. Elimu duni uliyonayo ndio tatizo.Hapa ni udini tu, hakuna zaidi. Amini ujuavyo nami naamini nijuavyo.
Kuna hoja ipi ya kukosoa?
Filamu inayokosolewa, kazi ya kuifanyia filamu hiyo tu imeshazalisha Matrilioni, mlikuwa hamfatilii safari ya mama huko USA na mafanikio yepi kayaleta? Huu ni udini tu.
Anyway, kwahiyo wakristo wote wanaomuunga mkno Samia wananipendekeza?Sasa huo udini uko wapi hapi hapo? Hajavunja rekodi ya Mtanzania kucheza ligi kuu ya Uingerezza?
Au hujapenda kwa kuwa alikuwa siyo Maiko Samatta?
Uislam hautaniisha mpaka kufa kwangu, hilo sahau. Mimi ni Muislam na utaumia sana, ndiyo tunadunda hivyo, ukitupara tunakuparura.Sawa, siku udini ukikuisha utajua
Wewe bibie una shida sana sana.Weka ushahidi huo wa Samatta uusemao. Wacha uongo.
Sasa hapa kuna nini cha huyo poyoyo mwenzenu kukosoa zaidi ya udini tu?
Hakuna anayekuzuia Kuwa muislam ukitaka hata uwe mchawi kama mshana Ni wewe this is a free countryUislam hautaniisha mpaka kufa kwangu, hilo sahau. Mimi ni Muislam na utaumia sana, ndiyo tunadunda hivyo, ukitupara tunakuparura.
Anamtafutia matatizo mume wake.Hivi huyu dada kaolewa,namuelewaga sana
Ova
Wewe hayo unasema wewe, ulisem kuna udini hapo kwa Samatta, uko wapi huo udini? Au Uislam wake ndiyo kwako udini?Anyway, kwahiyo wakristo wote wanaomuunga mkno Samia wananipendekeza?
Na waislamu wote wanamuunga mkno Samia?
Kumbe ni karani hapo masijala TamiSemi?Wewe bibie una shida sana sana.
Anyway Yeye (Dr Vicencia) ana shahada ya udaktari wa sanaa na ubunifu, ni mhadhiri chuo bora cha UDSM, ni sahihi kwa yeye kuona mapungufu katika hiyo sinema ya huyo 'muislamu' mwenzako kuliko wewe masijala hapo TAMISEM kumkosoa kwa hoja dhaifu za udini.
Mwache ajiropokee. Ana uhuru wake wa kutoa maoni kama binadamu wengine.Huyu dr. Ndio alisemaga wanafunzi wa UDSM hawajui kuoga, wananuka hovyo tu.
Sina hamu na huyu doctor. Huyu hata ukitembea naye lazima akutangaze kwamba ni mkulima na mmiliki halali wa bamia.
Ko mama akikosolewa ni udini. 😁 fikra zako ziko chini sana kushupalia neno moja tu. Manara akikosolewa kisa ni rangi? Magufuli alikosolewa ulikuwa udini? Ongea points achana naWeka ushahidi huo wa Samatta uusemao. Wacha uongo.
Sasa hapa kuna nini cha huyo poyoyo mwenzenu kukosoa zaidi ya udini tu?
Sema maza huyo ni nongwa sana kwa issue za udini. Kila comment ni kusemea dini tu utafikiri inamfanya kujiona yeye ni wa kipekee saana.Wewe bibie una shida sana sana.
Anyway Yeye (Dr Vicencia) ana shahada ya udaktari wa sanaa na ubunifu, ni mhadhiri chuo bora cha UDSM, ni sahihi kwa yeye kuona mapungufu katika hiyo sinema ya huyo 'muislamu' mwenzako kuliko wewe masijala hapo TAMISEM kumkosoa kwa hoja dhaifu za udini.
Unawaharibia sana unaowateteaWewe hayo unasema wewe, ulisem kuna udini hapo kwa Samatta, uko wapi huo udini? Au Uislam wake ndiyo kwako udini?
Usijifanye mjuzi wa kubadilisha maneno, onesha ushahidi uliotakiwa uuoneshe au umeshasahau? Au unafikiri sote tuko finyu? Mtawachezea wajinga wenzenu tu, hapa ni namaba nyingine kabisa. Ukibeep nnapiga. Mama anasema ukimpara anakuparura. Ni hayo hayo tu.