mkiluvya
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 809
- 729
Ubora wa picha wewe inaijua!!?..mtu wa Hollywood atengeneze filamu yenye ubora duni,filamu anoyoenda kuuza Hollywood!?
Watu wa buza kwa kibonge ndio shida yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubora wa picha wewe inaijua!!?..mtu wa Hollywood atengeneze filamu yenye ubora duni,filamu anoyoenda kuuza Hollywood!?
Aisee inatakiwa akae kimya.. bongo movie ipi ya kutolea mfano?[emoji116]View attachment 2210309
Usiwe mkaidi mkuu...Hapa hatuko Bakita,mladi mtu ameelewa ujumbe,hayo mengine tuwaachie bakita
Huyo Dr. Kanjanja.
Acha ushabenga wa uswahilini.Huyo Dr. Kanjanja.
Nani alikwambia watu wote wa Hollywood ni ma producer or movie directors?Ubora wa picha wewe inaijua!!?..mtu wa Hollywood atengeneze filamu yenye ubora duni,filamu anoyoenda kuuza Hollywood!?
Naona tuwape warner bros au Colombia....Nani alikwambia watu wote wa Hollywood ni ma producer or movie directors?
Heb tupe jina na CV la huyo movie director wa Hollywood alieproduce movie yetu.
Na kwakua umesema filamu inaenda kuuza Hollywood itakua vyema zaidi km utatupa distribution company iliyopewe kandarasi hio.
Hao Bongo movie watengeneze yao watu watofautishe. Lakini kuna mkanganyiko hivi hii ni filamu au documentary/makala?Kukosoa ni sawa ila kuponda kila kitu ni ujinga mpya..
Huyu anaekosoa basi afanye Filamu yake itasaidia
Sijakataa mkuu,kwanza hata mpaka sasa nimejitahidi nimesoma shule za zamani sana,tena nimefundishwa na walimu wa UPE)Ualimu pasipo kuwa na elimu)Usiwe mkaidi mkuu...
Tupo duniani kujifunza.
Endelea kukazana....Sijakataa mkuu,kwanza hata mpaka sasa nimejitahidi nimesoma shule za zamani sana,tena nimefundishwa na walimu wa UPE)Ualimu pasipo kuwa na elimu)
Duu!🤔Hapo hata kushika kamera hajui,anadhani kutengeneza filamu ni Kama kunyoa sehemu za siri
Wanashindwa kushuti namna hiiBongo Movie hii ninayoijua Mimi au
CV si utafute mtandaoni,mbona x unamtafuta!?..Amazon ni miongoni mwa platform za kusambazia hiyo movie,Kama kila movie ingeuzwa Hollywood Basi za wanaijeria zingeingia,lakini Hollywood walishasema hazina ubora wa kuingia hollywoodNani alikwambia watu wote wa Hollywood ni ma producer or movie directors?
Heb tupe jina na CV la huyo movie director wa Hollywood alieproduce movie yetu.
Na kwakua umesema filamu inaenda kuuza Hollywood itakua vyema zaidi km utatupa distribution company iliyopewe kandarasi hio.
We unadhani Hollywood filam zinatengenezwa kwa Bei gani!?..Kama muigizaji analipwa bilioni 70+ za kitanzania,unadhani production crew inalipwa bei gani!?..halafu wengi wenu mnadhani ubora ni rangi kukoleaIyo kama anajua 4k au hajui sio hoja kwa haraka haraka 7 bilion ya tzs ni sawa na dola 3,026,139.90 ebu ne da kaangalie mv yenye iyo budget au documentary yyt yenye iyo budget alafu linganisha iyo 4k yako kama zitaendanaaaaa, uyo kaongea kitu cha msingi sanaaaa ni ukweeel kbs usio fichika
Ubora ni kitu gani tufafanulie.We unadhani Hollywood filam zinatengenezwa kwa Bei gani!?..Kama muigizaji analipwa bilioni 70+ za kitanzania,unadhani production crew inalipwa bei gani!?..halafu wengi wenu mnadhani ubora ni rangi kukolea
Poa sio issue tupe jina tutaiftafta CV yake.CV si utafute mtandaoni,mbona x unamtafuta!?..Amazon ni miongoni mwa platform za kusambazia hiyo movie,Kama kila movie ingeuzwa Hollywood Basi za wanaijeria zingeingia,lakini Hollywood walishasema hazina ubora wa kuingia hollywood
Unapima predator ya Arnold ya 1988,blood sport ya Damme ya 1988 na hd/4k ya leo!!?..yaani miaka 34 unaona si lolote!!Hapa inatakiwa ubishe kwa facts sio kila kinachowekwa Hollywood ni bora kuliko vyote. Dokta anasema ubora wake sio mkubwa kulinganisha na ubora wa filamu zinginde za nyakati hizi. Mfano hata filamu za anold , Rambo na Van damme zilikuwa bora kwa wakati wake na zikaoneshwa Hollywood lakini ukiziangalia leo ni low quality