Uchaguzi 2020 Dkt. Wilson Mahera: Wagombea watakaotoa lugha za uchochezi na matusi watafutwa

Huyu anatafuta bwana. Acha aendelee kuchezesha hilo domo lake.
 
😂😂 Wapinzani bwana.
Can the Court prosecute individuals who are not members of any government or armed group?
Yes. The Court can prosecute persons who facilitate a crime. For example, if a person knows about plans to commit a crime and gives the perpetrator funds or arms to commit the crime, he or she might be prosecuted for having given this help. In the language of the Rome Statute such as person “aids, abets or otherwise assists” the commission of the crime.
 
Pole yako, na kama mtafi

Endelea kujifariji ti ndugu ni haki yako.
Kama ni maumivu mtaendelea nayo mitano tena
Ni vigumu kwa hofu mliyonayo, lakini ungejitahidi kutulia ili uandike kwa mtiririko uweze kueleweka
 
Huyo mzee na upara wake unaong'aa kama bilinganya basi anajiona mjanja,jpm ilitakiwa akapigwe ban hata siyo ya siku 7 bali mwezi🤣
 
Huyu pimbi hajui maana ya upinzani
Yaani ana lazimisha upinzani waisifu CCM??
Asubiri dawa yake iko kwenye kikombe. Anasubiri kuinywa.
 
Yote hii ni matokeo ya kile walichofanya kuzuia kampeni Mbowe akakubali sasa wameanza kutumia malungu zaidi baada ya kugundua akina Mbowe ni hamna kitu
 
Asisahau kumfuta na mgombea anayeongelea NGONO hadharani tena mbele ya wanafunzi wa shule ya msingi!!!
 
Sasa hivi watu wanatafuta umaarufu kwa njia yoyote ile, wanatengeneza tatizo na kulitatua wanaweza futa halafu Magufuli akatokea kusema arudishwe ili kutengeneza huruma
 
Kwani mahera ana nini. hiyo udoctor maandazi?
Mahela kupitia kamati ya maadili kampiga pini Lissu.
Haya nambie wewe Lissu labda hata waliompindisha mguu aliwafanya nini ukiacha Mahera aliemstopisha kampeni?
 
Huyu kada muengua wapinzani anatapatapa Sana angeanza na baba lao anaewatisha wapiga kura kwamba atawashughulikia
 
I wish mwenyekiti Wa chadema angekuwa Lema au Lisu,mbowe anatupeleka kimdebwedo sana .
Baada ya mbowe ni Heche ndie mtu sahihi asiyeuzika.Sumaye alitumwa kuuwa chama matokeo yake kafa yeye kisiasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…