Uchaguzi 2020 Dkt. Wilson Mahera: Wagombea watakaotoa lugha za uchochezi na matusi watafutwa

Uchaguzi 2020 Dkt. Wilson Mahera: Wagombea watakaotoa lugha za uchochezi na matusi watafutwa

Mlisema hivi wakati akimlima tundu kofuli la week, lakini Tundu mwenyewe kapokea kwa moyo mkunjufu na katekeleza adhabu kwa utiifu uliotukuka
Ule ulikuwa mtego ambao ulihitaji maamuzi ya busara, kilaza kama wewe lazima ungeingia mkenge
 
Jidanganye na ICC yako..... Inchi kama Burundi ilishajitoa na ICC yenu... Iweje TANZANIA [emoji1241]?, mnafikiria kwa kutumia kamasi. Ulishaona rais mweupe wa ulaya akashitakiwa na huyo mamaenu ICC? Kichwa kama ICC shenzi


Slobodan Milosevic wa Bosnia alishitakiwa na hiyo mahakama.
 
Mkurugenzi wa uchaguzi katika tume ya uchaguzi ameonya wagombea wote wanaotoa lugha za uchochezi, matusi na vitisho kwamba watafutwa na kuondolewa kwenye uchaguzi.

Dr Mahera amesema Tume yake haitavumilia wagombea waliopungukiwa maadili, heshima na ustaarabu.

Source Eatv habari

Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1591389
Mgombea wako wa CCM anapotisha wananchi kuwa hatapeleka maji hilo ni jambo safi kwenu?
 
Mkurugenzi wa uchaguzi katika tume ya uchaguzi ameonya wagombea wote wanaotoa lugha za uchochezi, matusi na vitisho kwamba watafutwa na kuondolewa kwenye uchaguzi.

Dr Mahera amesema Tume yake haitavumilia wagombea waliopungukiwa maadili, heshima na ustaarabu.

Source Eatv habari

Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1591389
Kama kuna mgombea anaongoza kwa kutoa matusi na vitisho hadi hivi sasa ni mgombea wa CCM
 
Mkurugenzi wa uchaguzi katika tume ya uchaguzi ameonya wagombea wote wanaotoa lugha za uchochezi, matusi na vitisho kwamba watafutwa na kuondolewa kwenye uchaguzi.

Dr Mahera amesema Tume yake haitavumilia wagombea waliopungukiwa maadili, heshima na ustaarabu.

Source Eatv habari

Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1591389

Ajui kama anavyozidi koropoka ndiyo anajichimbia shimo ya vikwazo. Magu mwenzao kanyamaza na amekuwa mwangalifu sana kuongea pumba wakati huu
 
Mtaona aibu sana, nyie endeleeni na upuuzi wenu,
Nasikia tarime mlipiga watu na mapanga mtafutwa na hakuna sehemu mtaenda.
Kutoa toa vitisho badala ya hoja ni ushuhuda kuwa mnafahamu kwamba mshachokwa.
Kila mlumumba anajiona kuwa yeye NEC.
Kama ilivyokea kwa madikteta wengine, hamtaamini yatakayowatokea.
 
Hivi huyu jamaa mbona kila speech ni kutishia tu....Mahela katishia this...Mahela kaonya that ....nadhani ingekuwa ni busara kutumia kushauri hivi na kushauri that.
 
Huyo siyo mtanzania, njoo kivingine, usitishie kutumia vitu vya Bosinia ambako hujawahi kuishi wala hupajui.

Unaongea nini dogo? Hiki ulichoongea kinaendana na niliyemquote?
 
Ni hivi
IMG_20201002_224423.jpeg
IMG_20201005_152921.jpeg
IMG_20200930_104100.jpeg
 
Wanatuchokonoa kwa nguvu kabla ya siku ya kupiga kura ili wavuruge uchaguzi, tutavumilia kwa sababu tumeshafanya maamzi ya kumfuta meko na CCM, hasira zote mtaziona kuanzia October 28
 
ilishajitoa na ICC yenu... I
Hiyo haizuii kuipeleka kujiu mashitaka ya uhalifu dhidi ya binadamu. The ICC lacks universal territorial jurisdiction, and may only investigate and prosecute crimes committed within member states, crimes committed by nationals of member states, or crimes in situations referred to the Court by the United Nations Security Council.

Can the Court prosecute individuals who are not members of any government or armed group?
Yes. The Court can prosecute persons who facilitate a crime. For example, if a person knows about plans to commit a crime and gives the perpetrator funds or arms to commit the crime, he or she might be prosecuted for having given this help. In the language of the Rome Statute such as person “aids, abets or otherwise assists” the commission of the crime.
 
Jidanganye na ICC yako..... Inchi kama Burundi ilishajitoa na ICC yenu... Iweje TANZANIA [emoji1241]?, mnafikiria kwa kutumia kamasi. Ulishaona rais mweupe wa ulaya akashitakiwa na huyo mamaenu ICC? Kichwa kama ICC shenzi
Ndio, kasome kuhusu Morodon Slobovic aliyekuwa rais wa Yugoslavia.
Hata hivyo siyo siri tena, kuwa madikteta wengi wanatokea huku kwetu wakijifanya wanaleta maendeleo.
 
Mkurugenzi wa uchaguzi katika tume ya uchaguzi ameonya wagombea wote wanaotoa lugha za uchochezi, matusi na vitisho kwamba watafutwa na kuondolewa kwenye uchaguzi.

Dr Mahera amesema Tume yake haitavumilia wagombea waliopungukiwa maadili, heshima na ustaarabu.

Source Eatv habari

Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1591389
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.” ~ Malcolm X
 
Jidanganye na ICC yako..... Inchi kama Burundi ilishajitoa na ICC yenu... Iweje TANZANIA [emoji1241]?, mnafikiria kwa kutumia kamasi. Ulishaona rais mweupe wa ulaya akashitakiwa na huyo mamaenu ICC? Kichwa kama ICC shenzi
Ndio, kasome kuhusu Morodon Slobovicaliyekuwa rais wa Yugoslavia.
Hata hivyo siyo siri tena, kuwa madikteta wengi wanatokea huku kwetu wakijifanya wanaleta maendeleo.
 
Huyu mahela, tofauti yake na punguani, kama ipo, ni kidogo sana. Ajaribu aone.

Ukada wake kwa ccm umemwondolea akili yote, amekuwa zuzu.
 
Pole yako, na kama mtafi
Kutoa toa vitisho badala ya hoja ni ushuhuda kuwa mnafahamu kwamba mshachokwa.
Kila mlumumba anajiona kuwa yeye NEC.
Kama ilivyokea kwa madikteta wengine, hamtaamini yatakayowatokea.
Endelea kujifariji ti ndugu ni haki yako.
Kama ni maumivu mtaendelea nayo mitano tena
 
Back
Top Bottom