Do not give a permanent solution to a temporary problem. Kwa dunia ya sasa nakushauri usioe

Kuna mtu aliwekaga humu kitabu kinaitwa THE MANIPULATED MAN
AISEE wanaume tunakazk kubwa sana
Dunia nzima ipo against us
Na wanawake waanambinu zao nyingi, vuna upeleke, wabinafsi,hawaridhiki,mtoto kama chambo,uchi kama kisu.
Wanaume wanaangaika kubuni vitu biashara na mambo mengi,ila pus*y fimbo ya mwanamke na mtoto.
Ndoa ni kujifunga mazima chini ya mwanamke,

Labda uwe na uhakika sana na unaemuoa sanaaa sanaaaa tena sanaa
 
Mmh sidhani kama mtoa maada n mwanaume aliyelelewa na wazazi wawili

Na sidhan kama n mwanaume aliyekamilika, nadhan kuna shida mahali

Mwisho wa kunukuu
 
Jana nmetoka kuvimbiwa pilau la jamaa anatoa mahari na wanavishana pete na mchumba ake,,kalaga baho na uyo ashura kishundu alokupga heartbreak moja heavy,hasira zinakutuma kushauri wenzio wasioe.
 
Oyaa upo sawa??? Au umepigwa tukio la kalne???
 
Very fact
huyu jamaa sijui kawaza nn mpaka kutiririsha uzi huu hahaa
 
Actually you're trying to give a temporary solution to a permanent problem, marriage is not about the bulshit that you said, it's about eternity and it's mysteries.
 
Mfyuuuuuuuu komwe lile....

dhambi ya nyokwe, una bahati tu nimeokokaa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kuna watu kule wananisumbua sana kwa sababu ya uchafu wako...

Maaana kila tukio ukifanya huwa wananiita aiseeee..

Sasa huo moto ukachomwe peke ako sio na mimi
 


Ukiondoa mtazamo na u perfect na uitaji wa kiimani, na kuheshimu utaratibu wa Ki Mungu; Kuoa is not a good thing to do!

Ndoa ni Jambo gumu sana!
 
Kutafuta pesa bila kua sehemu utulivu sidhani kama utafanya vizuri nachoamini mm tunapokua na mtu sahihi hata utafutaji unatafuta ukiwa ktk mood Safi lkn ukiwa na stress lazima uwe wrong.

Sehemu tulivu kwa Mtazamo wako ni ndoa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…