goswe
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 4,432
- 5,036
Kuna mtu aliwekaga humu kitabu kinaitwa THE MANIPULATED MAN
AISEE wanaume tunakazk kubwa sana
Dunia nzima ipo against us
Na wanawake waanambinu zao nyingi, vuna upeleke, wabinafsi,hawaridhiki,mtoto kama chambo,uchi kama kisu.
Wanaume wanaangaika kubuni vitu biashara na mambo mengi,ila pus*y fimbo ya mwanamke na mtoto.
Ndoa ni kujifunga mazima chini ya mwanamke,
Labda uwe na uhakika sana na unaemuoa sanaaa sanaaaa tena sanaa
AISEE wanaume tunakazk kubwa sana
Dunia nzima ipo against us
Na wanawake waanambinu zao nyingi, vuna upeleke, wabinafsi,hawaridhiki,mtoto kama chambo,uchi kama kisu.
Wanaume wanaangaika kubuni vitu biashara na mambo mengi,ila pus*y fimbo ya mwanamke na mtoto.
Ndoa ni kujifunga mazima chini ya mwanamke,
Labda uwe na uhakika sana na unaemuoa sanaaa sanaaaa tena sanaa