Do not give a permanent solution to a temporary problem. Kwa dunia ya sasa nakushauri usioe

Do not give a permanent solution to a temporary problem. Kwa dunia ya sasa nakushauri usioe

Utazaa watoto kama umbwa?huyu na mama yake yule na mama yake utaweza vipi kuwa-manage kimalezi kama hauishi na mama zao?

Kutoa manii na kulea mtoto ktk njia sahihi itakayomsaidia baadae ni vitu viwili tofauti,maisha siyo simple kiasi hiko na ni rika tu linakusumbua kuna wakati utafika utajiona mjinga kuwaza hivi,unapoona vitu ktk jicho jepesi kama hivi elewa kuna siku mtoto utakaemzaa atabikiriwa na bwana wa mwanamke uliyemzalisha kwa sababu alikuwa karibu yake kuliko wewe mwenye mbegu yako.
Kuna watu utu wameupoteza kabisa wanataka kuishi kama mbwa
 
Wa kwanza wewe apo 😂
Ah besty mbona wanisingixia sasa...mie wala sikutii presha mie nafuatilia tuu wee ulikuwa wasema huu mwake eeh huu mwaka haupiti bila kula pilau 😂😂😂😂
Mie siwezi mwekea presha mwanamke kuolewa, mwanamke hana final say kwenye suala la kuolewa inabidi asubiri vijana wa hovyo mpaka pale watakapo kuwa tayari kwa majukumu ya ndoa
 
Mnachokisema kinaweza kuwa kweli lkn hebu tufikiri leo mwanao bado mdogo miaka ishirini ijayo atakuwa na 25 na mpk 30 hataolewa sababu kila mtu kachukua ushauri huu kama muelekeo wa maisha.Ataishia kulalwa na kila mwanaume,akibahatika sana atazaa na mme wa mtu na umri ukiwa umeenda ataanza kutembea na vijana wadogo.Unachokikiri kwa ulimi wako hakitakuja kwako tu kitakuja hadi kwa kizazi chako dada,mdogo na watoto kuwa makini
Umemaliza mkuu 100%, shida watu hawaoni mbali unangalia kesho wakat kuna kizazi kinakuja huko.
 
Waty wengi sasahiv. Wanamatatizo ya afya ya akili kutokana na mambo wanayopitia ila hawataki kukubali ukweli
Nina mkaka tupo karibu aliumizwa na mkewake kias had kuzaa nje lakin sijawah msikia anasema wanawake wabaya na always anakubali alikosea na ataoa Tena soon ana kilakitu kuanzia nyumba biashara na magari na mtu mzuri Sana
Wengi trauma zinawasumbua wapate msaada wa kisaikilojia ila ni wabishi wanaona wako sawa
Nakubaliana na wewe mkuu. Binafsi nina trauma kutokana na mahusiano/ndoa ila sifikirii kuwa na ndoa tena au hivi karibuni.
 
Miongoni mwa misiba mikubwa inayosumbua vichwa vya wengi duniani ni KUTOJUA KUSUDIO LA NDOA na VIGEZO VYA MSINGI vya kumpata mwanandoa.Maafa haya ni matokeo ya sisi wenyewe kutojitambua. Hatujui tupo hapa duniani kwa lengo gani.
 
Eti mnaishi na litoto la mtu kabisa mmefunga pingu za maisha mnadanganyana, mnapikiana michuzi na kulala pamoja.

Hauwezi hata kuwa huru, unakuwa mtumwa, unaingia kwenye kifungo. Hata ukitaka kujamba lazima uombe ruhusa: PLEASE MADAM, MAY I JAMBA? NOOO THANK YOU, DONT JAMBA.

Ukienda kazini analeta dume lingine linamdinya, ukifa anarithi mali zako na basha ake.

Wakati huo wewe upo kuzimu unaungua MOTO WA MILELE huku mkeo amechumishwa mboga kwenye kitanda chako.

Cc: Mbaga Jr Extrovert dronedrake Poor Brain The Icebreaker Kapeace Half american
Una division four alafu una nitag mtu na degree yangu... Are you insane 😂😂😂😂
 
Okay, let's make this as short as possible.

Kwa nn unaoa? I mean, what problems do you think marriage will help you solve? List them down.

Are those problems permanent? Je hayo matatizo unayotegemea kuyatatua ukiwa na ndoa ni ya kudumu?

Only a desperate idiot gives a permanent solution to a temporary problem. Ni punguani au zwazwa pekee ndio anaelipa tatizo la muda mfupi solution ya kudumu.

Pussy? Kids? Cooked food? Vyote hivo unavipata kiurahisi kabisa kwenye dunia ya sikuhizi bila kutake risk ya kujifunga na litoto la mtu ambalo unaweza kuta ni professional slut.

Anyway, I promised to make this short. Kaa kijanja. Wenye ndoa wana watoto nje wewe unaenda kuoa ili upate watoto. Do not be an idiot, tafuta hela, watoto wako wakifikia umri sahihi unapewa waje waishi kifahari na wewe, usitafutie mwanamke na mpenzi wa mke wako hela.

Wako mtiifu,
Boyfriend wa mke wako na baba mzazi wa watoto unaowalea,
Teslarati.
Shukrani sana Katibu Mkuu
 
Umesema ukweli kabisa kwa sasa wanaume ni watumwa wa wanawake
Na ndoa ni utumwa kabisa kwa wanawake wa sasa
Nakushauri pia usioeeee.
Kama unaweza kutunza tamaa zako

Dunia nzima ipo upande wa mwanamke,mwanamke ndie mlaji wa mwisho wa shughuli zoote za ulimwenguni.
Yeye ndie tajiri wa yoote.
Usije ukathubutu kuwa mtumwa.
 
chuo chetu kiko nyuma ya ubungo plaza mkabala na supermaket.... naomba uwe na heshima na wasomi wenzio tukiongea sawa? 🧐
Asali mnavuna vipi yaani kuvuna asali lazima usomee mkuu..

Au asali gani una maanisha., maana nawewe akili huna kabisa mda wote mnawazaga matusi tuu na mavi mavi 😂 😂 😂 😂
 
Kutokujua sio shida shida ni kutokujua kama hujui

Kuoa in any way ni kama kipimo cha mtu kuwa stable kiakili bila kujali negative issues ambazo hutokea kwenye ndoa nyingi siku hizi

Mtu akiwa na 50 years na hajaoa bad enough ana watoto nje wengi ni mtu ambaye by natural social laws ataonekana hayuko sawa kiakili na hawezi kuaminika kwenye jamii na ndio maana hata nyadhifa fulani huwezi kupewa ukiwa singo kwenye taasisi ama serikalini boss

Mwanaume unapozaliwa moja ya mtihani ambao unakutana nao ni wa kuweza kutengeneza familia na kuimanage kwa ajili ya kutengeza kizazi nyuma yako ambacho kitakuwa stable ila ukiwa na perception kama yako hii tayr ushafeli mtihani kabla hujaufanya na wengine kwa kuogopa ndoa wameishia kwenye kutamani hata kuolewa ili wapate mteremko na wao mwanaume lazma ugangamale wanaume waoga mwisho wa siku wanaanza tabia za hovyo
 
Back
Top Bottom