Dodoma: 12 wafariki na 63 kujeruhiwa kwenye ajali ya Basi la Frester kogongana na Lori

Dodoma: 12 wafariki na 63 kujeruhiwa kwenye ajali ya Basi la Frester kogongana na Lori

Kwa mm ambaye nature ya kazi yangu inanilazimu kusafiri safiri sana huwa nikiona hivi napatwa na mawazo sana. Kuna siku nipo kwenye Shabiby ile ya kwanza natoka Dom-Dar jamaa alikuwa anakimbia saana tumeingia Dar saa saba kasoro hivi mchana. Alikuwa anaovertake hovyo hovyo maroli, gari ndogo ,mabus mengine. Kuna eneo hapo katikati ya Mikese na Bwawani aliforce kuovertake maroli kama kumi hivi, nusuru asababishe ajali maana lilitokea roli jingine kwa mbele ghafla akalazimisha kuingia pembeni kulikuwa na kama gari dogo kama discovery 3 au 4 nusura amgonge.
 
Kwa wanaondesha Private car safari ndefu watakuwa mashahidi wa uendeshaji wa madereva wa mabasi, hawa jamaa ni kama wanavutaga bangi au akili zao hazipo sawa anaweza ovartake gari wakati anaona mbele kuna gari na usipompisha anakuletea lazima utaingia mtaroni, wapi rafu hususani kuanzia misa ya saa 12 jioni Giza likishaingia
 
Kuna wanazi wao huwa wanapenda sana,.utakuta wanahanikiza kabisa.
Kwa wanaondesha Private car safari ndefu watakuwa mashahidi wa uendeshaji wa madereva wa mabasi, hawa jamaa ni kama wanavutaga bangi au akili zao hazipo sawa anaweza ovartake gari wakati anaona mbele kuna gari na usipompisha anakuletea lazima utaingia mtaroni, wapi rafu hususani kuanzia misa ya saa 12 jioni Giza likishaingia
 
we mpumbavu. kazi ya MUNGU haina makosa. mbona alipokuleta duniani haukuhoji kwanini umeletwa duniani?
 
Hao Forester wanaendesha hivyo Sana,nikikumbuka walivyotuburuzaburuza pale vilima vya sekenke
Hawa kuna siku nilimmaindi sana dereva wa hiihii kampuni alafu konda akawa anamtetea, jamaa wanakimbia sana wanafukia matunda Hadi unahisi kiuno kitavunjika
 
Taifa gani ambalo watu wanaangamia lakini wale wanaolipwa kwa kodi zetu kutuhakikishia usalama, hawawajibiki. Na Rais na cabinet wake wanakaa kimyaaa!!!
Kwa hii ajali unamlaumu vp traffic, ajali saa saba usiku tochi hamna
 
... kuna haja kuangalia hizi long safaris upya. Kwa mfano kusiwe na leseni ya moja kwa moja Dar - Bukoba, Dar - Musoma, Dar - Kigoma, etc. Safari ikishakuwa zaidi ya 800km magari yaishie nearby cities uwe ndio mwisho wa leseni zao. Itasaidia.















Mkuu usiangalie majibu rahisi, kuna Buses zinatoka Lusaka hadi joberg, Harare hadi Capetown, Lilongwe hadi joberg etc etc,tatizo hapa kwetu barabara zetu ni mbovu mkuu, hazijkwa jengwa kwa viwango
 
Tanzania hatuna madereva wa mabasi ,tuna waendesha mabasi!!

Mara nyingi napita hii highway ya Dom to dar, ninachokishuhudia kwa haya mabasi ,hapana kwa kweli ,Tanzania hatuna madereva aise ,tuna waendeshaji tu . Wanachokijua wao ni Basi lizungushe magurudumu kwa Kasi barabarani na kupiga mihoni Basi !![emoji51]
 
Mchana madreva wanaendesha magari kwa ratiba, kwa hili Polisi wamefanikiwa.Usiku hakuna check points Wala Polisi.Ule muda aliopotea mchana wanafidia usiku ndio maana ajali karibu zote ni mchana.Utafutwe utaratibu rafiki utakaolinda usalama wa watu na mali zao.
Haitakuwa busara kuzuia usafiri wa usiku manake uzembe utakuwa umehalalishwa.
 
Back
Top Bottom