mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati uzembe na ujinga ni wetu wenyeweBora umeliona hilo yani Africa kila kitu tunamsingiziaga shetani tu apo n uzembe tu afrika lazima tukue kiakili na kifkra
Kweli kabisa ,madereva wengi vichaaaWatapinduka,watachchora porini. Hata barabara iweje kama kumejaa wapumbavu barabarani ajali haziishi.
We kimbia tu,sisi tutakuja kula ubwabwaUsiku ndio kutamu kwa kukimbia sababu lami imepoa. Usiku hata ukiwa na tyre za mchongo unafika uendako bila kwere taa na macho yawe vizuri tu.
Mwehu wewe, umeambiwa wamefariki wewe unariwaindi taarifa!Duh Maskini, Hope abiria watatoka salama
Mwehu wewe,nyankundo,lushindo lako
zimeruhusiwa isipokuwa ziwe zinaingia mjini sio kutoka mjini kwenda maporiniFrester ya kutoka/ kwenda wapi hiyo saa hizi iko Kibaigwa? Gari zimeruhusiwa kusafiri usiku siku hizi?
Si ajali imetokea usiku amaBasi lilitoka kahama muda huu linaweza kufika Dodoma?? Au una maanisha Gari imetoka Dodoma kuelekea KAHAMA? weka taarifa yako kwa usahihi
Kuzidi Kwa abilia kunaweza sababisha ajali? Dadavuakosa la kwanza ilikuwa imezidisha abiria, RIP
Miundo mbinu ni mwarobaini Mkuu.Dereva wa kibongo hata umuweke miundo mbinu gani bado ajali zitatokea
Discipline Discipline tena madereva wa sasa hawa waliyoanza kuendesha magari miaka 2000 ni shida
Ova
Unakariri fresta niza kahama tu, zipo znatoka morogoro-bukoba, yapo Barbara ya moro-dar yanazurula tu.
Hua mnajua yatokaga kahama tu kwenda mwnza na dar tu. Safiri kaka acha kukaa barabarn kushangaa magar
Aliandika ajali imetoka asubuhi , umekuja kuedit post yakeSi ajali imetokea usiku ama
siku wakilipotiwa watu wanao kufa na kuwa walemavu sababu ya boda boda na noha nchi nzima kwa siku kila mtu atashika mdomo!!!chanjo kikuu cha hajari nchi hiii polisi barabalani watu wamelalamika mpaka wameamua kunyamaza kumia ndani kwa ndani mamlaka sijui zinawaogopa hawa watuNi ajali mbaya sana imetokea hapa Kibaigwa Silwa, bado mchakato wa kubaini athari unaendelea.
Nita-updates soon ngoja tuokee watu kwanza.
Kama una ndugu yako alipanda basi hilo kutokea njia ya bukoba kwenda Dar
USSR
===
Ajali imetokea Kijiji cha Silwa, Kata ya Pandambili,Tarafa ya Mlali, Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, baada ya Basi la Frester lenye namba za Usaji T 415 DPP kugongana na lori lililokuwa linatokea Morogoro kwenda Dodoma saa saba Usiku wa kuamkia leo tarehe 9/02/2023.
Ajali hiyo imesababisha Vifo ni 12 ambapo waliofariki ni Wanawake 4 na Wanaume 8. Majeruhi ni 63.
View attachment 2511188View attachment 2511189View attachment 2511190
View attachment 2511398View attachment 2511399View attachment 2511400
ndugu yangu unapopata ajali ya gari, makosa yote huainishwa hata bima tu itachunguzwa lakini kwa namna yoyote ile haisababishi ajali, bora hata kuzidisha abiria inaweza kusemwa gari lilizidi uzito likapoteza mwelekeo.Kuzidi Kwa abilia kunaweza sababisha ajali? Dadavua
Ni makosa ya kiuandishi mkuuAliandika ajali imetoka asubuhi , umekuja kuedit post yake
Hizi sheria huwa madereva hawazingatii kabisa, ila hata abiria na sisi sijui huwa nini kinatufanya kujazana kwenye gari,ifike hatua sasa na abiria akijaa kwenye gari na yeye pamoja na dereva na kondakta wote wapigwe faini, sheria nazo ziwape mamlaka abiria wakamate gari linalovunja sheria,abiria wakamate gari na walipelekea polisi na kama ni faini ilipwe ndani ya gari,ifike wakati iwe ni kosa kisheria kwa kondakta kuongea na trafiki nje ya gari,yani liwe ni kosa la moja kwa moja kwa trafiki na kondakta,hapa pakiwekwa mitego michache kabisa, adabu itarudi.Majeruhi 63
Marehemu 12
Jumla 75
Uwezo wa Basi 52+dereva na konda.
Polisi wapo, barrier zipo, katazo la kutembea usiku lipo. Sheria ya kila abiria akalie kiti ipo.
Nini mbaya katika hii sekta.?
Hii tabia ya kuzidisha abiria kwa tamaa ya posho iko Sana mabasi ya Moro na tanga. Lkn who cares.
Surprise Basi la Moro au tanga lazima ukute Kuna abiria wamekaa kwenye engine. Matrafik wengi aidha Ni vipofu hawalioni au wanagawiwa posho.
Nakumbuka Kuna siku tunatoka Mwanza abiria mashabiki wa mwendo kasi wanamwambia dereva. Mimi nitakulipia faini mbili, mwingine mbili, inamaana dereva akitoa rushwa kwa polisi abiria ndio wanaingia mfukoni.
Kwani yeye alikua anaendesha hayo magari Barabarani.?Yote kwa yote, yule RPC wa sasa wa Mwanza, former mkuu wa Kikosi cha Usalama barabarani, alikuwa anafanya kazi nzuri. Huyu wa sasa yawezekana ana compliance kiaina.