Dodoma: 12 wafariki na 63 kujeruhiwa kwenye ajali ya Basi la Frester kogongana na Lori

Dodoma: 12 wafariki na 63 kujeruhiwa kwenye ajali ya Basi la Frester kogongana na Lori

Ajali nyingi zinasabanishwa na uzembe wa madereva na ufinyu wa miundo Mbinu.

Serikali ibiboreshe miundo mbinu na kuhakikisha madereva wanafuata SHERIA Kwa kuepuka vileo na kuendesha magari wakiwa wamechoka. Pawe na ulazima wa madereva wote kupumzika kila baada ya masaa SITA. Wapumzike Kwa muda wa saa Moja na nusu.

Kona zote na miinuko ziwe na Barabara ya Tatu ya mchepuko .
Ajali nyingi za asubuhi ,alfajiri na usiku sana wa manane zinasababishwa na usingizi.
Dereva wa kibongo hata umuweke miundo mbinu gani bado ajali zitatokea

Discipline Discipline tena madereva wa sasa hawa waliyoanza kuendesha magari miaka 2000 ni shida

Ova
 
Tukiachana na Na huyo unaemtuhumu, kibaigwa jinsi ilivyo almost 75% ya pesa zinazozunguka pale ni za moto[emoji91] na 25% zilizobaki ndiyo pesa halali yaani matajiri wa pale aaagh! aisee sijui hata nisemeje ila huo ndio ukweli
kwa mawazo hayo lazima ufe masikini tu
 
KARIBU Dopa smartphones
Dar Mwenge ITV opposite na Nakiete pharmacy na Kariakoo msimbazi

Kwa Smartphones za Aina zote kwa bei nafuu, Free delivery Dar na mikoani

Nenda google andika Dopa smartphones uende kwenye websites yetu kupata bei na picha za simu na details[emoji116]

Bonyeza {Nunua} chini ya simu uliyoipenda kuchati na namba ya office moja kwa moja, website[emoji116]

www.dopasmartphones.com
Naona hizi tabia zenu za kule insta na fb mnataka kuzihamishia huku na nashangaa moderator na amekuachia tuu kuharibu uzi

Yaani kweli uzi wa tanzia na nchi nzima ipo kwenye msiba,wewe unaleta tangazo la biashara....unaona upo sawa!!!!!!!????
 
HIVI KWANINI ASITOKEE KIONGOZI KICHAA AKAWEKA 'LIZEGE' LIKUUUBWA KATIKATI (NJIA MBILI) ILI HUU UPUMBAVU WA HAWA MADEREVA NA BAADHI YA ABIRIA WAO UNAOSABABISHA MAJANGA YENYE KUTESA KAMA HAYA UKAISHAAA?!!!

TULE MIHOGO HATA MIAKA MITATU LAKINI HILI LINGEFANYIKA KWA KESHO BORA YA WATU. SASA HIVI KUNA WENGINE TUKISAFIRI HATUONGEI (KWA SABABU YA WASIWASI) HADI TUNAFIKA.
Hio ndio control measure yenye 100% effeciency. Hio ndio itaondosha overtaking za kizembe
 
Du poleni jamn huwa napanda Hilo bas pale cbe saaa Tano usiku kwenda dar huo mwendo ukifika magufuli unashikuru kingamuzi wangoa na kuweka mfukoni
Hi kweli mdau,mi Baada ya kuzipanda hizo Frester km mara nne kutokea pale cbe dom na kuonekana mi ndo mshamba wa mwendokasi nimehamia kwenye Saratoga au advanture za kutoka Kigoma.Hao Frester wanakimbia mno
 
Mungu ana ruhusu ajari?kwa ushahidi upi?uzembe wa watu,unamsingizia Mungu,Waafrika/watu wenye upeo,Elimu ndogo,mambo yao yasipoenda kwa kukosa maarifa na ujuzi,usema ni mapenzi ya Mungu.
Mungu Wala hausiki,
Acheni uvivu wa akili.
Bora umeliona hilo yani Africa kila kitu tunamsingiziaga shetani tu apo n uzembe tu afrika lazima tukue kiakili na kifkra
 
Abilia zaidi ya 70,Dah! Kuishi Afrika mpaka miaka 70 ni Mungu tu husimama nasisii..... risk nyingiii sana.
 
Back
Top Bottom