Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Mkuu kuna mtu alishasema, "wakimbie watu wanaosema yote kazi ya Mungu". Ni watu ovyo kuliko uovyo wenyewe.Mungu ana ruhusu ajari?kwa ushahidi upi?uzembe wa watu,unamsingizia Mungu,Waafrika/watu wenye upeo,Elimu ndogo,mambo yao yasipoenda kwa kukosa maarifa na ujuzi,usema ni mapenzi ya Mungu.
Mungu Wala hausiki,
Acheni uvivu wa akili.