Dodoma: 12 wafariki na 63 kujeruhiwa kwenye ajali ya Basi la Frester kogongana na Lori

Dodoma: 12 wafariki na 63 kujeruhiwa kwenye ajali ya Basi la Frester kogongana na Lori

Tulounga mkono madereva kupunguziwa adhabu barabarani, trafiki kupunguzwa barabarani, tochi kulegezewa mwendo wake wa kumulika watu, madereva kuonewa huruma, sasa tujipongeze kwa kazi nzito ya kuruhusu ajali za barabarani.
Tungekuwa tunawapa adhabu kali madereva , faini zingekuwa kubwa, trafiki wangeendelea kula vichwa vya madera wazembe haya yasingetokea
Tuendeleeni kuomboleza.
 
Nasema kila siku uendeshaji wa madereva wa kibongo ni zeroooo
Watu wanakufaaaa kama inziii
Na bado tutazika sanaaa tu
#£££ type

Ova
 
Miondombinu umeamua kuiacha kwa makusudi
Ajali nyingi zinasababishwa na yafuatayo.

1. Kutokuzingatia sheria za usalama barabarani.

2. Ubovu wa vyombo vya usafiri.

3. Kukithiri kwa Rushwa. Trafiki yupo tayari kupokea buku 2 na kuruhusu gari bovu kuendelea na safari matokeo yake ndio haya.
 
Au gari za abiria zisisafiri zaidi ya masaa 12 kwa siku.
... kuna haja kuangalia hizi long safaris upya. Kwa mfano kusiwe na leseni ya moja kwa moja Dar - Bukoba, Dar - Musoma, Dar - Kigoma, etc. Safari ikishakuwa zaidi ya 800km magari yaishie nearby cities uwe ndio mwisho wa leseni zao. Itasaidia.
 
... kuna haja kuangalia hizi long safaris upya. Kwa mfano kusiwe na leseni ya moja kwa moja Dar - Bukoba, Dar - Musoma, Dar - Kigoma, etc. Safari ikishakuwa zaidi ya 800km magari yaishie nearby cities uwe ndio mwisho wa leseni zao. Itasaidia.

Kama kawaida masuluhisho zimamoto kazini.

Hata hivyo tatizo kubwa kwenye ajali hizi ni ujinga yaani elimu duni ya madereva.

Kiwango cha chini cha elimu kuendesha vyombo kama hivi vingekuwa reviewed.

Mfano, kama graduates wanaosaka ajira wangepewa hizi kazi wakalipwa vizuri matatizo haya yangegeuka historia.
 
Hamjaa anuaa tangaaa huko moshi
Msiba mwingine
Endeleeni ku3ndesha magari kama wendazim tu ajali ikitokea mkikata roho sisi ni kuwazikaaa tu
#£&! Type

Ova
 
... kuna haja kuangalia hizi long safaris upya. Kwa mfano kusiwe na leseni ya moja kwa moja Dar - Bukoba, Dar - Musoma, Dar - Kigoma, etc. Safari ikishakuwa zaidi ya 800km magari yaishie nearby cities uwe ndio mwisho wa leseni zao. Itasaidia.
Sahihi Usemacho Lakini Mamlaka Ya Kudhibiti Nauli Nayo Ipo Shida
Dar Es Salaam ~Kagera Nauli 80000/= Moja Kwa Moja Sasa Ukishuka Njiani Usafiri Mpya Shida Tena
 
Ajali nyingi zinasababishwa na yafuatayo.

1. Kutokuzingatia sheria za usalama barabarani.

2. Ubovu wa vyombo vya usafiri.

3. Kukithiri kwa Rushwa. Trafiki yupo tayari kupokea buku 2 na kuruhusu gari bovu kuendelea na safari matokeo yake ndio haya.

Kwenye list hapo ujinga wa madereva hamna? Hapo ndipo kwenye zaidi ya 90% ya tatizo:

1. Kama haoni waziwazi anakokwenda dereva anategemea nini?
2. Kama miundo mbinu mibovu tahadhali zipi anachukua?

Atalaumiwa sana dobi hapa, ila kaniki rangi yake.
 
Back
Top Bottom