Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,497
- 4,775
Tulounga mkono madereva kupunguziwa adhabu barabarani, trafiki kupunguzwa barabarani, tochi kulegezewa mwendo wake wa kumulika watu, madereva kuonewa huruma, sasa tujipongeze kwa kazi nzito ya kuruhusu ajali za barabarani.
Tungekuwa tunawapa adhabu kali madereva , faini zingekuwa kubwa, trafiki wangeendelea kula vichwa vya madera wazembe haya yasingetokea
Tuendeleeni kuomboleza.
Tungekuwa tunawapa adhabu kali madereva , faini zingekuwa kubwa, trafiki wangeendelea kula vichwa vya madera wazembe haya yasingetokea
Tuendeleeni kuomboleza.