Dodoma: 12 wafariki na 63 kujeruhiwa kwenye ajali ya Basi la Frester kogongana na Lori

Dodoma: 12 wafariki na 63 kujeruhiwa kwenye ajali ya Basi la Frester kogongana na Lori

Ni ajali mbaya sana imetokea hapa Kibaigwa Silwa, bado mchakato wa kubaini athari unaendelea.
Nita-updates soon ngoja tuokee watu kwanza.

Kama una ndugu yako alipanda basi hilo kutokea Kahama mcheki.

USSR

===
Ajali imetokea Kijiji cha Silwa, Kata ya Pandambili,Tarafa ya Mlali, Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, baada ya Basi la Frester lenye namba za Usaji T 415 DPP kugongana na lori lililokuwa linatokea Morogoro kwenda Dodoma saa saba Usiku wa kuamkia leo tarehe 9/02/2023

Ajali hiyo imesababisha Vifo ni 12 ambapo waliofariki ni Wanawake 4 na Wanaume 8. Majeruhi ni 63.

View attachment 2511188View attachment 2511189View attachment 2511190
Hilo eneo walilotaja hapo juu sidhani kama pana kona kali pale,itakuwa huu ni uzembe wa kuovertake,au dereva alisinzia kutokana na uchovu,vinginevyo labda kama kulikuwa kunaukwepaji wa shimo,maana kipindi hiki cha mvua barabra nyingi huwa zinakuwa na mashimo makali sana-sharp potholes...
 
Naskia chanzo ni lililokuwa limebeba ng'ombe kuweka break down njiani bila kiashiria dereva wa bus aliovateki bila kuona mbele na kukutana na lori la cement.
 
Ni ajali mbaya sana imetokea hapa Kibaigwa Silwa, bado mchakato wa kubaini athari unaendelea.
Nita-updates soon ngoja tuokee watu kwanza.

Kama una ndugu yako alipanda basi hilo kutokea Kahama mcheki.

USSR

===
Ajali imetokea Kijiji cha Silwa, Kata ya Pandambili,Tarafa ya Mlali, Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, baada ya Basi la Frester lenye namba za Usaji T 415 DPP kugongana na lori lililokuwa linatokea Morogoro kwenda Dodoma saa saba Usiku wa kuamkia leo tarehe 9/02/2023

Ajali hiyo imesababisha Vifo ni 12 ambapo waliofariki ni Wanawake 4 na Wanaume 8. Majeruhi ni 63.

View attachment 2511188View attachment 2511189View attachment 2511190
Kwamba gari ilikua na abiria 75?

Na inabeba abiria 53
 
Mbona hilo basi laonesha lilikuwa limebeba watu 75?
Maaana kama wamekufa 12
Majeruhi ni 63

Wakati uwezo wa Basi ni abiria 52

Uzembe wa nani kwa kuongezeka watu 23?
Hili nalo tatizo jingine. Tz pesa inatangulizwa ndo ubinadamu unafata.

Unakuta Waiter alikufungulia chupa inapasuka akanuomba unywee upande ambao haujapasuka na usiinywe hadi chini maana chupa zinazamaga zinakaa chini ili asipate short.
 
Ni ajali mbaya sana imetokea hapa Kibaigwa Silwa, bado mchakato wa kubaini athari unaendelea.
Nita-updates soon ngoja tuokee watu kwanza.

Kama una ndugu yako alipanda basi hilo kutokea Kahama mcheki.

USSR

===
Ajali imetokea Kijiji cha Silwa, Kata ya Pandambili,Tarafa ya Mlali, Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, baada ya Basi la Frester lenye namba za Usaji T 415 DPP kugongana na lori lililokuwa linatokea Morogoro kwenda Dodoma saa saba Usiku wa kuamkia leo tarehe 9/02/2023

Ajali hiyo imesababisha Vifo ni 12 ambapo waliofariki ni Wanawake 4 na Wanaume 8. Majeruhi ni 63.

View attachment 2511188View attachment 2511189View attachment 2511190
ni 12 ambapo waliofariki ni Wanawake 4 na Wanaume 8. Majeruhi ni 63.
Jumla ya ABIRIA NI 75, hilo bus lina siti ngapi?
Ajali imetokea saa 7 usiku kongwa, bus Ukitoka Kahama saa ngapi?
 
Kwa sisi wasafiri wa kila siku chanzo cha ajali 99% ni blind overtaking na ukiendesha gari usiku tambua fika kuna risk kubwa kuliko mchana, one mistake one goal.

إنا لله وإنا إليه راجعون اللهم اغفر لمن آمن منهم
Na mkuu mbona usiku ni rahisi kuliko mchana maana usiku mwenzio akija unaona taa unajua kwamba kuna gari sema inatakiwa umakini tu mimi naona
 
Ni ajali mbaya sana imetokea hapa Kibaigwa Silwa, bado mchakato wa kubaini athari unaendelea.
Nita-updates soon ngoja tuokee watu kwanza.

Kama una ndugu yako alipanda basi hilo kutokea Kahama mcheki.

USSR

===
Ajali imetokea Kijiji cha Silwa, Kata ya Pandambili,Tarafa ya Mlali, Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, baada ya Basi la Frester lenye namba za Usaji T 415 DPP kugongana na lori lililokuwa linatokea Morogoro kwenda Dodoma saa saba Usiku wa kuamkia leo tarehe 9/02/2023.

Ajali hiyo imesababisha Vifo ni 12 ambapo waliofariki ni Wanawake 4 na Wanaume 8. Majeruhi ni 63.

View attachment 2511188View attachment 2511189View attachment 2511190
Masikitiko makubwa sana. Pole sana waliokumbwa na ajali hii. MUNGU pekee akawafariji wafiwa na kuwaponya majeruhi.
 
Ajali nyingi zinasababishwa na yafuatayo.

1. Kutokuzingatia sheria za usalama barabarani.

2. Ubovu wa vyombo vya usafiri.

3. Kukithiri kwa Rushwa. Trafiki yupo tayari kupokea buku 2 na kuruhusu gari bovu kuendelea na safari matokeo yake ndio haya.
 
Hilo eneo walilotaja hapo juu sidhani kama pana kona kali pale,itakuwa huu ni uzembe wa kuovertake,au dereva alisinzia kutokana na uchovu,vinginevyo labda kama kulikuwa kunaukwepaji wa shimo,maana kipindi hiki cha mvua barabra nyingi huwa zinakuwa na mashimo makali sana-sharp potholes...
... kuna haja kuangalia hizi long safaris upya. Kwa mfano kusiwe na leseni ya moja kwa moja Dar - Bukoba, Dar - Musoma, Dar - Kigoma, etc. Safari ikishakuwa zaidi ya 800km magari yaishie nearby cities uwe ndio mwisho wa leseni zao. Itasaidia.
 
Back
Top Bottom