Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Madereva ni binadamu, barabara walijenga binadamu, magari ni ya binadamu.Mungu, Kwanini unaruhusu hizi ajali,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madereva ni binadamu, barabara walijenga binadamu, magari ni ya binadamu.Mungu, Kwanini unaruhusu hizi ajali,
Hapa nami nimeshangaa pia, haiwezekani bus la kutoka Kahama lifike Dodoma muda huo.Basi lilitoka kahama muda huu linaweza kufika Dodoma?? Au una maanisha Gari imetoka Dodoma kuelekea KAHAMA? weka taarifa yako kwa usahihi
Kila siku overtakeSasa taarifa imekaa kwa usahihi, binafsi suluhu ya ajali hizi ni kujengwa wa Njia nne tu
Utafiti unaonyesha kuwa, tatizo la kwanza linalosababisha ajali ni uzembe/ujinga/upumbavu kwa madereva. Hili linachukua 85%. Mtu anaambiwa asiovertake kwenye kona, ambapo haoni mbele, lakini yeye anaovertake. Tatizo la pili ni ubovu wa vyombo vyenyewe (magari). Hapa shida ni kutofanyiwa service vyombo hivyo, na uchakavu wa magari. Hili linachukua 10%. Na tatizo la mwisho ni madawa ya kulevya; hapa kuna pombe, mirungi, cocaine, nk. Mtu akitumia vitu hivi kwa kiasi kikubwa, hawezi kuwa na maamuzi sahihi. Hili linachukua 5%.Mengine hatupaswi kumlaumu Mungu, je chombo kinafanyiwa regular services kwa wakati? Na je? Dereva anapata muda wa kupumzika? Nk nk. Tuyatazame kwanza hayo na ajali zitapingua.
Miundombinu pia huchangiaAjali nyingi nchinj zinasababishwa na uzembe wa madereva,, wapumzike mahali pema jamani
Ukiwa mtu wa safari utakubaliana na mimi kuwa madereva wengi nchi hii hawako makini, habari ya miundo mbinu ni kwa aslimia ndogo sana zinachangia ajali zetu ktk nchi hiiMiundombinu pia huchangia
Siku hizi tairi kupasuka aileti madhara sana kutoka mwendo sio mkali sana siku hizi.shida imebaki kwenye haraka za Ku overtakeNaanza kuamini sasa 90% ajali uzembe wa madereva nimefatila ripoti karibu mwaka sijasikia gari binafsi au basi la abiria limepata ajali sababu sijui tairi imepasuka sijui breki lilifeli kila saa mtu alikua anapiga blind overtake....
Mtasema miundombinu waeke double road ila ndio hakuna double road tuwe makin sasa
Nadhani ilikuwa inatoka Bukoba!Hiyo basi imetoka Kahama saa ngapi ifike kibaigwa mida hii
Kupasuka tairi sio sana, nahisi haya ma tubeless yamesaidiaaaSiku hizi tairi kupasuka aileti madhara sana kutoka mwendo sio mkali sana siku hizi.shida imebaki kwenye haraka za Ku overtake
Kwa akili za madereva wa Tz hata uwawekee njia 10 watasababisha ajali tu.Sasa taarifa imekaa kwa usahihi, binafsi suluhu ya ajali hizi ni kujengwa wa Njia nne tu
Jemima MremboSababu ni Dhambi zetu wenyewe mtu yupo safarini anaangalia X.
Kweli kabisa. Haya ndio matokeo ya uongozi dhaifu.Hizi ajali hazijaruhusuwa na Mungu bali ni matokeo ya uongozi dhaifu usiowajibikia vya kutosha kuzizuia kwa kupitia miondombinu na usimamizi imara.