Kuna Frester huwa inaanzia Morogoro kwenda Kahama, nahisi itakua ndo hiyo
Kuna Bukoba Kahama Dar kutokea kule jana yaweza kuwa kibaigwa mida hiyo pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Frester huwa inaanzia Morogoro kwenda Kahama, nahisi itakua ndo hiyo
Sasa likitoka Dodoma kwenda Kahama linapita Kibaigwa? Hilo litakua lililala DodomaBasi lilitoka kahama muda huu linaweza kufika Dodoma?? Au una maanisha Gari imetoka Dodoma kuelekea KAHAMA? weka taarifa yako kwa usahihi
@kina kirefuTukiachana na Na huyo unaemtuhumu, kibaigwa jinsi ilivyo almost 75% ya pesa zinazozunguka pale ni za moto[emoji91] na 25% zilizobaki ndiyo pesa halali yaani matajiri wa pale aaagh! aisee sijui hata nisemeje ila huo ndio ukweli.
Vyanzo vikuu vya ajali huwa ni uzembe au miundombinu
... it makes sense. Maneno "Kama una ndugu yako alipanda hilo basi kutokea Kahama ..." yameongezwa baadaye na mleta mada. Otherwise, isingekuwa na utata wowote.Si itakua ililala Dodoma jamani?
Aliyekwambia Mungu anaruhusu Ajali na umwagaji damu ni nani?Mungu, Kwanini unaruhusu hizi ajali,
Sababu ni Dhambi zetu wenyewe mtu yupo safarini anaangalia X.Mungu, Kwanini unaruhusu hizi ajali,
Muhusika ni mwanadamu mwenyewe..ndio maana ikichunguzwa wanakuta makosa ya kwenye mwendokasi, n.k.Anayeleta ajali ni shetani au Mungu?
Mungu, Kwanini unaruhusu hizi ajali,
Si itakua ililala Dodoma jamani?
Kwani mtoa mada kakwambiaje?Basi hazilali tena Dodoma. Dodoma Dar 24 hours.
Mashaka ni bus toka Bukoba.
Bukoba Kahama Dar imetoka kule jana.
Kwani likitoka Bukoba Kahama hawapandi?Kwani mtoa mada kakwambiaje?
Limetoka kahama
Ni frester kutoka Bukoba kwenda Dar, iligongana uso kwa uso na gar la Cement majira ya saa sita usikuKibaigwa ni nyumbani hivyo ule mji naufahamu vizuri. ukiwa unaelekea Morogoro basi mji huu upo karibu na mpaka kati ya Dom na morogoro yaani unatoka kibaigwa unaingia pandambili halafu gairo...
Kwani shida nini wewe brazaKwani likitoka Bukoba Kahama hawapandi?
Zingatia mleta mada hata picha hajaleta. Taarifa kamili si kasema baada ya uokoaji?
Miundombinu kwa Kibaigwa nakataa ni sehem uliyonyooka sana na barabara ni pana na haina mabonde hapa pana uzembe wa madereva kujiachia na kufosi ku-overtake hata kama mbele kuna gariVyanzo vikuu vya ajali huwa ni uzembe au miundombinu
Kwani shida nini wewe braza
Ujinga na uzembe wa madereva unamsingizia MunguMungu, Kwanini unaruhusu hizi ajali,
Possible limetoka Morogoro to Kahama ila pia saa moja kuwa kibaigwa ni ngumuBasi lilitoka kahama muda huu linaweza kufika Dodoma?? Au una maanisha Gari imetoka Dodoma kuelekea KAHAMA? weka taarifa yako kwa usahihi
Jamaa inaonekana alikuwa anakimbia sana kama ametokea Dodoma maana Kutoka Dom - kibaigwa Kuna kama km 100+.Frester ya kutoka/ kwenda wapi hiyo saa hizi iko Kibaigwa? Gari zimeruhusiwa kusafiri usiku siku hizi?