Dodoma: 12 wafariki na 63 kujeruhiwa kwenye ajali ya Basi la Frester kogongana na Lori

Dodoma: 12 wafariki na 63 kujeruhiwa kwenye ajali ya Basi la Frester kogongana na Lori

Kwani mtoa mada kakwambiaje?
Limetoka kahama
Kwani likitoka Bukoba Kahama hawapandi?

"Kama una ndugu yako alipanda basi hilo kutokea Kahama mcheki"

Zingatia mleta mada hata picha hajaleta. Taarifa kamili si kasema baada ya uokoaji?
 
Basi lilitoka kahama muda huu linaweza kufika Dodoma?? Au una maanisha Gari imetoka Dodoma kuelekea KAHAMA? weka taarifa yako kwa usahihi
Possible limetoka Morogoro to Kahama ila pia saa moja kuwa kibaigwa ni ngumu
 
Frester ya kutoka/ kwenda wapi hiyo saa hizi iko Kibaigwa? Gari zimeruhusiwa kusafiri usiku siku hizi?
Jamaa inaonekana alikuwa anakimbia sana kama ametokea Dodoma maana Kutoka Dom - kibaigwa Kuna kama km 100+.

Kama wameroka KAHA a basi labda waliharibiniwa njiani, safari Yao ilianza Jana.
 
Back
Top Bottom