Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa specific, ni mpango wa nani huo kuua watu pole pole?
Swali lijibiwe, tuache meandering!!Ushaambiwa ni kwa mtu aliyesoma japo kidogo tu, upo kundi hilo?
Lakini kile kiti cha kwanzaa kilikuwa cha hadhi ya chini ukilinganisha na viti walivyokalia na wale wana kamati."Naweza kukaa sehemu yeyote.."Askofu kama anastukia kiti cha kuelekezwa. Duuh! Akiri Neno la Mungu, "Hata tukilishwa vya kufisha, tutakanyaga nge na nyoka lakini..."
.
Polisi kwa ajili ya Ulinzi wake.Polisi wa nini sasa kama sio kumpa promo huyu confused personality
Huwezi kuelewa muktadhaPolisi kwa ajili ya Ulinzi wake.
Hivi siku hizi kulindwa /kusindikizwa na polisi ni promo eti? mbona magari yanayosafirisha fedha yanakuwa na Ulinzi wa polisi?
Gwajima is a real dogHahah jamaa mtata hajavaa barakoa
Ova
Vizuri sana.Huwezi kuelewa muktadha
uko shallow
wenye depth wameelewa
Hakika wasema, na tayar wamemwelewa na anapendwa sana! Wanaona JPM ndani mwake...mtetezi wa rasirimali zetu na afya zetuWawe makini sana, Askofu Gwajima kwa sasa anaonekana kama ndiye mkombozi wa kweli wa Watanzania.
Then stop discussing with meVizuri sana.
Shallow mind discuss people deep mind discuss issues si ndio hivyo au?
Worry not.Then stop discussing with me
I have no time with you
Jamaa ana dhadau sana..Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima amefika Bungeni Dodoma muda huu kuitikia wito uliomtaka kufika mbele ya Kamati ya Maadili na Madaraka ya Bunge ili kujibu tuhuma mbalimbali ikiwemo kusema uongo na kushusha hadhi na heshima ya Bunge.
Kesha shinda goli moja mpaka hapo....
Na polisi tena bungeni?!
Kwa Prof Assad na Pascal Mayalla haikuwa hivi!
Icho kipara kakiparua haswa kama cha ndugaiHahah jamaa mtata hajavaa barakoa
Ova
ANAWEZA kwenda CHADEMA AKAGOMBEA URAIS, nchi ichangamkeWawe makini sana, Askofu Gwajima kwa sasa anaonekana kama ndiye mkombozi wa kweli wa Watanzania.
aliomba kubadilishiwaLeo lazima kiti kiwake moto, nchi hii, imechezewa sana inahitaji watumishi bora kama Askofu Gwajima, kuitakasa kwa upako wa ufufuo na uzima. Chonde chonde wasije kumKorimba, mtumishi wa mwenyezi Mungu Mkuu, DR. Rashid Joseph Gwajima! Microphone, kaa mbali nayo mita moja.
chanjo gani kuchoma mpaka ujaze fomu, Kwanini zingine hazina fomu na tatizo lingine watalaam tunaowaamini wanatofautiana kuhusu hiyo chanjo.Mtu labda ni kijana na afya njema, hata Corona ikikupitia una nafasi kubwa ya kupona lakini unashinda mitandaoni kuwatisha watu wenye afya zinazohitaji
CDM hajitakuwa chama sahihi kwa Askofu Gwajima,wale ni majasusi wa CIA.Na sitanii,hii ni kweli.ANAWEZA kwenda CHADEMA AKAGOMBEA URAIS, nchi ichangamke
Wakimuua tutadai uhai wake kwa Spika Ndugai