Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23

Bunge la JPM uchafuzi 2020 matokeo ndiyo haya hatari sana mbaya zaidi SHH naye kaingilia mlango ule ule uchafuzi Serikali za Mitaa 2024 kuna hatari zaidi 2025 Raia wamechoka saaaana.
 
ni muhimu kujidhihirisha gentleman,

huwezi kumendea mke wa watu kisirisiri halafu ukifumaniwa na kukapigwa mingeu ya maana, kwasasabu ya tamaa zako binafsi

ukakimbilia mitandaoni kutafuta huruma na kusingizia eti umetekwa,

that's nonsense gentleman πŸ’
 
Reactions: Tui
Kila mtu na maoni yake minapendekeza wawe wanapanda magari tofauti
Kazi yao kuiba Kodi zetu Tena unawaongezea pesa ya mafuta kila mmoja,hao ni saccos ya kuiba Kodi zetu na kuleta bajeti hewa
 
Nimesoma mitandaoni comments kuhusu hii ajali,nadhani kuna kafunzo wabunge watakuwa wamepata
 
Nimepitia comments nyingi kwenye hii thread kwakweli ccm waa hane na wizi wa kura ninachokiona mwakani ni hatari kubwa Wananchi wamechoka
 
Hili bus waliuziwa na shabiby.....conflict of interest....HAMNEEE
 
Sasa ubunge utalinganisha na ualimu?
 
Sioni hoja ya maana ulioandika.
 
Natoa pole kwa Tume ya uchaguzi NEC kwa ajali ya wabunge wao ..mm mgombea wangu walimkata
 
Huna hoja ya maana.
pole sana gentleman,
kwa kufikia ukomo wako wa mawazo mapya na fikra mbadala,

busara ikuelekeze kukaa kimya na upumzishe hiyo empty head basi gentleman?πŸ’
 
Reactions: Tui
Poleni sana wawakilishi wetu, Mungu awape sia njema kwa wale mliopata mushikeli..!
Kama hutojali, naomba unikumbushe walau vitu 3 ambavyo hawa watu unaweza kusema kabisa kwamba, yes hapa tuliwakilishwa. Please bro, just remind me
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…