King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Wacha wafe banaMungu awafanyie wepesi wapone haraka na warudi katika hali zao za kawaida
Lilikuwa linewabeba wahishimiwa "wabonge"!I wish ...!Dah aseee kweli mmewachoka hawa vibaka.
Hapo utakuta basi lilikuwa mwendo wa ngiri na kufanya vurugu barabarani kisa tu limebeba wakujiita "waheshimiwa".
Maana hii nchi watunga sheria na walinda sheria ndio wanaongoza kuvunja sheria.
Sina shaka nawe ni hao manusura! Tena inawezekana, wewe ni mmoja wa wale C19!Kibaka ni mama yako na uko wenu wote .MBWA
SEMA WAWAKILISHI WAKO, tutoe katika upumbavu wako sisiPoleni sana wawakilishi wetu, Mungu awape sia njema kwa wale mliopata mushikeli..!
Dereva wa semi hajatutendea haki wana kamati ya maafaπ€£SAFI SANA
Huyo mbunge mdada ni kabila gani kwani?
atakuwa toleo la kina meku hao
πππππWameshakufa kufa wangapi tukafukie ππ
πππ€£π€£π€£ππUliwachagua lini wawe wawakilishi wako ?
Mimi najua waliteuliwa na Magufuli.