Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23

Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23

Kumuombea mtu afikwe na jambo Baya hakukufanyi wewe uliye mzima uwe katika watu Bora walio wazima.
Uzima wetu ni Neema tu ya Mungu na si kama tumefanya mema kuliko waliyopata Ajali au waliokufa.

Kikubwa tuwaombee wapone haraka, na Mungu atu jaalie tuwe na mwisho mwema pindi atakapo tuita kwake kusubiri hukumu zetu.
 
Back
Top Bottom