Na konda naye tunamwombea wengine wataombewa na mchengerwa.Dereva get well soon.. mungu amponye dereva
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na konda naye tunamwombea wengine wataombewa na mchengerwa.Dereva get well soon.. mungu amponye dereva
Mungu sio wa kumletea mizaha"I hate death" hakuwemo apate hata ngeu?
Bora kiongozi wa kijiji mwenye vision kuliko mbunge mpumbavu anayesinzia bungeni huku akigonga gonga meza kupitisha sheria za hovyo na za kipumbavuWewe huna huzuni ? Kwenu hayupo Mbunge wa kuonewa huruma ? Sababu familia zingine Kiongozi mkubwa kabisa ni mwenyeki wa mtaa tena vijijini.
Tunawaombea uponyaji wa harakaWakatibiweHapo dereva wa basi sijui kama katoka salama.Hii ajali Iko kama imetengenezw... Ili tufanye uchaguzi
Mungu awajaalie uponyaji wa haraka
Wasisahau kumshukuru MAMA wangekufa wote.Poleni waheshimiwa Mungu awajalie mpone kwa haraka safari si njema kwenu