Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23

Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23

Moja ya basi lililokuwa limewabeba Waheshimiwa Wabunge wanaoelekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki limepata ajali ya kugongana na lori la mizigo maeneo ya Mbande Kongwa asubuhi hii.

Majeruhi wa ajali hiyo wamekimbizwa Hospitali ya Uhuru na Hospitali ya Benjamini Mkapa za Mkoani Dodoma.

========

Baadhi ya wabunge waliokuwa wanasafiri kuelekea Mombasa Kenya kushiriki mashindano ya 14 ya Mabunge ya Afrika Mashariki, wamepata ajali katika eneo la Mbande mkoani Dodoma baada ya Basi waliokuwa wakisafiria kugongana na Lori.
View attachment 3170267
View attachment 3170269View attachment 3170270
View attachment 3170273
Walitaliwa wade wote kwajinsi wanavyofanya
 
Kila siku nasema tatizo la hii nchi wala sio Walamba Asali bali ni utamaduni uliojengeka kwamba ukiwa Mbunge au Kiongozi unakuwa mtawala na kuishi tofauti na wengine (Kama wananchi wanapanda hata baiskeli na wengine kutembea kwa miguu au kusafiri kwa malori) hao watumishi wao ni kina nani wasipande usafiri ambao ni wa Majority ?!!!
Kuna tofauti kati ya kiongozi na raia wa kawaida
 
Kama taifa tupo kwenye peak moja ya chuki kali sana na CCM wakiwa smart watajifunza kitu.

Yaani uzi una viewers 1K na post 82 lakini hakuna hata mmoja ktk walioupitia aliyeweka emoji ya “masikitiko” hii ni hatari sana.
Screenshot_2024-12-06-11-26-11-117_com.mi.globalbrowser-edit.jpg
 

Attachments

  • IMG_20241206_112015.jpg
    IMG_20241206_112015.jpg
    206.4 KB · Views: 2
Kuna tofauti kati ya kiongozi na raia wa kawaida
Na ndio maana mambo yanakwenda ndivyo sivyo Kiongozi wa Kiserikali ni Mtumishi na Raia ndio Kiongozi sababu ndio anawalipa pesa hivyo what is good for huyu bosi (raia) must be good for mtumishi (kiongozi serikalini) After all hayo madikodiko wanayotumia pesa zinatoka kwenye matumizi na kama katika matumizi hawaweza kuleta Sera za watu kupata angalau basic needs hawawezi waka justify luxuries za aina yoyote kwao.... (Kumbuka hizo pesa sio zao ni za Raia)
 
Back
Top Bottom