Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walitaliwa wade wote kwajinsi wanavyofanyaMoja ya basi lililokuwa limewabeba Waheshimiwa Wabunge wanaoelekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki limepata ajali ya kugongana na lori la mizigo maeneo ya Mbande Kongwa asubuhi hii.
Majeruhi wa ajali hiyo wamekimbizwa Hospitali ya Uhuru na Hospitali ya Benjamini Mkapa za Mkoani Dodoma.
========
Baadhi ya wabunge waliokuwa wanasafiri kuelekea Mombasa Kenya kushiriki mashindano ya 14 ya Mabunge ya Afrika Mashariki, wamepata ajali katika eneo la Mbande mkoani Dodoma baada ya Basi waliokuwa wakisafiria kugongana na Lori.
View attachment 3170267
View attachment 3170269View attachment 3170270
View attachment 3170273
Kuna tofauti kati ya kiongozi na raia wa kawaidaKila siku nasema tatizo la hii nchi wala sio Walamba Asali bali ni utamaduni uliojengeka kwamba ukiwa Mbunge au Kiongozi unakuwa mtawala na kuishi tofauti na wengine (Kama wananchi wanapanda hata baiskeli na wengine kutembea kwa miguu au kusafiri kwa malori) hao watumishi wao ni kina nani wasipande usafiri ambao ni wa Majority ?!!!
Sasa mbona dereva amepoteza control angekuwa nayo ingekuwapoa.Watademand kuanza kusafiri kwa ndege, kisingizio ni ajali ambayo huenda chanzo ni wao walikuwa wanamcontrol dereva
🤣🤣Kama ni wabunge tena wa CCM wa RIP tu hakuna hasara hapo.
Kila mtu na maoni yake minapendekeza wawe wanapanda magari tofautiWakisafiri kwenye magari yao mnaongea kwa nn wasipande gari moja kupunguza bajeti hii nchi wasemaji wengi sasa
Kabisa tunamuombea Dereva Awe salamaDereva get well soon.. mungu amponye dereva
Waliosalia, watajiju!Kabisa tunamuombea Dereva Awe salama
Na ndio maana mambo yanakwenda ndivyo sivyo Kiongozi wa Kiserikali ni Mtumishi na Raia ndio Kiongozi sababu ndio anawalipa pesa hivyo what is good for huyu bosi (raia) must be good for mtumishi (kiongozi serikalini) After all hayo madikodiko wanayotumia pesa zinatoka kwenye matumizi na kama katika matumizi hawaweza kuleta Sera za watu kupata angalau basic needs hawawezi waka justify luxuries za aina yoyote kwao.... (Kumbuka hizo pesa sio zao ni za Raia)Kuna tofauti kati ya kiongozi na raia wa kawaida