Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23

Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23

Napenda kuchukua nafasi hii kuwapa pole sana, waheshimiwa wa Bunge letu, kwa ajali mbaya ya gari ambayo ilitaka kuchukua uhai wa wabunge wetu.

Binafsi nawatakia majeruhi wote quick recovery ili waweze kuendelea na majukumu yao ya kulitumikia Taifa.

Maoni yangu, ningetamani kuona wanatumia ndege Kuliko mabasi!!!

🙏🙏🙏
 
Kwa muonekano wa hii ajali (bus imekula mbele kwa dereva na lorry nyuma upande wa dereva pia) hapo nashindwa kuimagine scenario ilikuwaje.

Yani imagination inaniambia dereva wa bus alitaka kuanza ku overtake gari iliyokuwa mbele yake huku lorry likitokea upande wa tofauti na bus lake ila akakosea makadirio akajikuta ameshatoa chuma sekunde kadhaa kabla hajapishana kabisa na lorry ndio maana ameligonga kwa sehemu ya nyuma upande wa kulia (angalia mpact inaonekana lorry limepigwa kuelekea nyuma ndio maana hata mlango umejikunywa kurudi nyuma) na yeye dereva bus lake likapata majeraha upande wake wa kulia. Sioni explanation ya tofauti hapo na mwendo kasi lazima ndio chanzo.

Wataalamu wa barabarani hebu nirekebisheni.
Nionavyo dereva wa bus alitakaku-overtake lorry ila akaona kuna gari linakuja opp direction akarudi mwingi kushoto akaligonga lorry kulia kwake na kwa bus.
 
Napenda kuchukua nafasi hii kuwapa pole sana, waheshimiwa wa Bunge letu, kwa ajali mbaya ya gari ambayo ilitaka kuchukua uhai wa wabunge wetu.

Binafsi nawatakia majeruhi wote quick recovery ili waweze kuendelea na majukumu yao ya kulitumikia Taifa.

Maoni yangu, ningetamani kuona wanatumia ndege Kuliko mabasi!!!

🙏🙏🙏
😳
 
Moja ya basi lililokuwa limewabeba Waheshimiwa Wabunge wanaoelekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki limepata ajali ya kugongana na lori la mizigo maeneo ya Mbande Kongwa asubuhi hii.

Majeruhi wa ajali hiyo wamekimbizwa Hospitali ya Uhuru na Hospitali ya Benjamini Mkapa za Mkoani Dodoma.

========

Baadhi ya wabunge waliokuwa wanasafiri kuelekea Mombasa Kenya kushiriki mashindano ya 14 ya Mabunge ya Afrika Mashariki, wamepata ajali katika eneo la Mbande mkoani Dodoma baada ya Basi waliokuwa wakisafiria kugongana na Lori.
Dah,
Idadi ya 😍 na 😃 kwenye "reactions" za uzi inaonyesha picha fulani kuhusu hao wahanga wanavyochukuliwa na wananchi
 
Moja ya basi lililokuwa limewabeba Waheshimiwa Wabunge wanaoelekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki limepata ajali ya kugongana na lori la mizigo maeneo ya Mbande Kongwa asubuhi hii.

Majeruhi wa ajali hiyo wamekimbizwa Hospitali ya Uhuru na Hospitali ya Benjamini Mkapa za Mkoani Dodoma.

========

Baadhi ya wabunge waliokuwa wanasafiri kuelekea Mombasa Kenya kushiriki mashindano ya 14 ya Mabunge ya Afrika Mashariki, wamepata ajali katika eneo la Mbande mkoani Dodoma baada ya Basi waliokuwa wakisafiria kugongana na Lori.
Msemaji wa Jeshi la polisi!
Kapiga kimya😄
 
Kwani kwa wingi wao huo hawakuwa na sweep car kwa usalama wao barabarani wakaachwa wajieendee tu bila usalama?
 
Back
Top Bottom