Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23

Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23

Kumuombea mtu afikwe na jambo Baya hakukufanyi wewe uliye mzima uwe katika watu Bora walio wazima.
Uzima wetu ni Neema tu ya Mungu na si kama tumefanya mema kuliko waliyopata Ajali au waliokufa.

Kikubwa tuwaombee wapone haraka, na Mungu atu jaalie tuwe na mwisho mwema pindi atakapo tuita kwake kusubiri hukumu zetu.
Wafe tu, kwani wangapi kati yao walilaani hadharani na kukemea kutekwa na kuuawa kwa Ali Kibao.
Ubaya ubwela phrase ya Kizaramo.
 
Moja ya basi lililokuwa limewabeba Waheshimiwa Wabunge wanaoelekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki limepata ajali ya kugongana na lori la mizigo maeneo ya Mbande Kongwa asubuhi hii.

Majeruhi wa ajali hiyo wamekimbizwa Hospitali ya Uhuru na Hospitali ya Benjamini Mkapa za Mkoani Dodoma.

========

Baadhi ya wabunge waliokuwa wanasafiri kuelekea Mombasa Kenya kushiriki mashindano ya 14 ya Mabunge ya Afrika Mashariki, wamepata ajali katika eneo la Mbande mkoani Dodoma baada ya Basi waliokuwa wakisafiria kugongana na Lori.
Yule bibi kiongozi wa Puerto Rico kafara imemgomea, dah....🤔🤔
 
Chawa ama kwa kujua ama bila kijua na wanajukwa chawa kama akina naniliu wanaweza kuthibitisha.Vinginevyo acha kudandia yale ambayo

Tumeamua kudanganyana,ama kudanganya tunao uchaguzi ama mfumo wa uchaguzi,hata mtoto atakuambia tunachofanya ni kuonyesha ujinga wa Kitanzania.
Watanzania wameshachagua acha makasiriko
 
Moja ya basi lililokuwa limewabeba Waheshimiwa Wabunge wanaoelekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki limepata ajali ya kugongana na lori la mizigo maeneo ya Mbande Kongwa asubuhi hii.

Majeruhi wa ajali hiyo wamekimbizwa Hospitali ya Uhuru na Hospitali ya Benjamini Mkapa za Mkoani Dodoma.

========

Baadhi ya wabunge waliokuwa wanasafiri kuelekea Mombasa Kenya kushiriki mashindano ya 14 ya Mabunge ya Afrika Mashariki, wamepata ajali katika eneo la Mbande mkoani Dodoma baada ya Basi waliokuwa wakisafiria kugongana na Lori.
Ok
 
Kuna mbunge majeruhi mmoja kasema anamshukuru rais Samia Kwa ujenzi wa barabara nzuri ambayo imeweza kuwaokoa na hiyo ajali.Maana ingekuwa barabara mbaya huenda wangepoteza maisha kabisa

Kuna mbunge majeruhi mmoja kasema anamshukuru rais Samia Kwa ujenzi wa barabara nzuri ambayo imeweza kuwaokoa na hiyo ajali.Maana ingekuwa barabara mbaya huenda wangepoteza maisha kabisa
Mbona barabara ya Morogoro to Dodoma ulijengwa tangu Mwaka 1986 Kwa Mkopo wa masharti nafuu kutoka Brazil. Huyu Samia anaingiaje hapa?
 
Nionavyo dereva wa bus alitakaku-overtake lorry ila akaona kuna gari linakuja opp direction akarudi mwingi kushoto akaligonga lorry kulia kwake na kwa bus.
Ukiangalia bus limepata damege upande wa dereva so unachoseama sio sawa maana TZ ni right hand. Hicho kingekuwa sawa kama upande wa kushoto ungekuwa ndio umeumia.
 
Hii ajali imeniudhi sana.
Haijaleta matokeo chanya.
Hata hivyo poleni waheshimiwa!
 
Da ukisoma koment utagundua watu wanachuki na wabunge wao.

Jamani tuwapende waheshimiwa wetu🤣🤣🤣🤣🤣🤣😃🤣🤣😃
 
Wakirudi bungeni walete Muswada wa kujenga barabara nne
 
Ukiangalia bus limepata damege upande wa dereva so unachoseama sio sawa maana TZ ni right hand. Hicho kingekuwa sawa kama upande wa kushoto ungekuwa ndio umeumia.
Alikunja nyingi kushoto mpaka usawa wa dereva wa basi ukaligonga lorry. Yaani asingegonga angepitiliza kushoto.
 
Wakirudi bungeni watenge bajeti kuhakikisha barabara zote kubwa ni njia nne.
Wameshatenga toka 2022 lakini hawana SMARTNESS,wanachekq na bibi yeye anahanisha.pesa.kwenda Zenji
 
Yaani hadi sasa hakuna hata mmoja aliyekufa? Hilo lilitakiwa likatumbukia bahari pale Likoni Mombasa wafe wote.
 
Back
Top Bottom