Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Prof. Mbarawa kama amekiri kuwa usimamizi wa bandari upo chini Kwanini asijiuzulu kumpisha mzawa Dr Charles Kimei?
 
Mpina yuko kimya anaandaa nondo wala hagongi meza sijui kama spika atamnyanyua.
 
Hivi huo mkataba wa awali hauna kipengele cha muda wa matazamio?
 
Hivi wabunge wanaposema jirani anafanya vizuri kwenye bandari,naye amewaita DP? Au waliwekeza akili za wananchi wao?
 
Kuna bomu linaandaliwa na Mpina hapa nadhani hili litakuwa ni ICBM, sijui atapona nani
 
Mbunge amethibitisha kuwa mkataba huu ni kweli hauna mkomo na auna ukomo kwa manufaa ya watanzania

Kwa hiyo ni kweli mkataba ni wa milele
 
Pona pona ya hili taifa ni pale tu wananchi watakapo tambua CCM ni adui wa hii nchi anaye takiwa kupingwa kwa nguvu zote.
Lasivyo tusilaumu maana ujinga wetu na njaa zetu ndio nguzo yao kuu ya kuendelea kubaki hapo walipo sasa.
 
Mbarawa atuambie Bandari ya Mombasa na Durban zinaendeshwa na DP World hadi zikafikia huo ufanisi?

Kwa nini Bandari za Zanzibar hazihusishwi kwenye mkataba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…