Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Akitimaliza huyu anakuja mwingine halafu anafata Halima Mdee. Akishaongea Mdee nazima tv naenda kuvuta fegi.
 
Jf inafuatiliwa sn leo bungeni.

Heko Jf home of great thinkers na wasomi wa hali ya juu.

R I P Magufuli
Sorry Ndugai
 
Nasubiri mchango wa Mpina. Naona anaandaa nondo 🤣🤣🤣
 
Hakuna lolote lile uongo mtupu, Wapi tumesema mnagawiwa bahasha? Unajikuna nakujiwasha mwenyewe kutafuta uaminifu Kwa nguvu kumbe matapeli wahuni watupu, huyu spika hazimo kichwani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kuna wabunge tupo nao humu ID zao nazijua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi Hawa wabunge wana akili kweli...


Hakuna anaekataa uwekezaji. Issue ni hizo terms.


Sijaona mbunge yoyote kidogo Kitila mkumbe alijitahidi kugusia vipengele vya huo mkataba.

Wengine wote ni Ass kissers!
 
Back
Top Bottom