rodgers123
Senior Member
- Jul 12, 2015
- 161
- 128
Hapa ilitakiwa wananchi wakiamshe kama walivyofanya wafanyabiashara wa Karikooo...!!!Naona umuhimu wa wapinzani kuwapo bungeni, Magufuli umetuletea balaa kwa kupitisha pitisha wabunge wa ccm kwa mabavu
Azimio la Bunge kuhusu Pendekezo la Kuridhiwa Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai kwa lengo la kuanzisha Ushirikiano wa Kiuchumi na Kijamii katika Uendelezaji wa Maeneo ya Bandari Nchini leo Juni 10, 2023.
======
Leo Juni 10, 2023, Bunge la Tanzania linatarajia kujadili mkataba kati ya Serikali na Kampuni ya DPWorld unaodaiwa kutotaja ukomo kuhusu Ushirikiano katika Uendeshaji, Uendelezaji na Uboreshaji wa Bandari zote za Baharini na Maziwa zilizopo Tanzania Bara
Mkataba umeibua maswali ambayo hayajapatiwa ufafanuzi wa kina ikiwemo thamani na muda wa uendeshaji pamoja na sababu za Tanzania kuingia mkataba na kampuni inayotajwa katika kesi za ukwepaji kodi na migogoro katika utekelezaji mikataba huku baadhi ya Nchi zikiikataa kampuni hiyo.
Je, unaufahamu kiasi gani Ushirikiano wa DP-World na Bandari?
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa anawasilisha Pendekezo la Kuridhiwa kwa Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa anawasilisha Pendekezo la Kuridhiwa kwa Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai kwa lengo la kuanzisha Ushirikiano wa Kiuchumi na Kijamii katika Uendelezaji wa Maeneo ya Bandari Nchini, leo Juni 10, 2023
Prof. Mbarawa anasema "Pamoja na kuchukua hatua mbalimbali za maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam, bado ufanisi katika utoaji Huduma za haujafikia viwango vinavyotakiwa kimataifa.”
Anaongeza “Hali ya sasa ya utendaji imeendelea kuwa ya kiwango cha chini ikilinganishwa na Bandari shindani kikanda. Kwa mfano, wastani wa meli kusubiri nangani kwa Bandari ya Dar es salaam ni Siku 5 ikilinganishwa na Siku 1.25 kwa Bandari ya Mombasa na siku 1.6 kwa Bandari ya Durban.”
Wabunge walioko bungen kwao aya mambo yako juu ya uwezo wao , mbunge anasema wenzetu wanapakua mizigo kwa siku tatu tena majirani , sasa si watume watu wajue why iko hivyo , badala yake mnakimbia mpa mwarabu why msimpe mkenya ambae inaonesha amekua na ufanisi katika endesha bandari zake , hamna akiliAzimio la Bunge kuhusu Pendekezo la Kuridhiwa Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai kwa lengo la kuanzisha Ushirikiano wa Kiuchumi na Kijamii katika Uendelezaji wa Maeneo ya Bandari Nchini leo Juni 10, 2023.
======
Leo Juni 10, 2023, Bunge la Tanzania linatarajia kujadili mkataba kati ya Serikali na Kampuni ya DPWorld unaodaiwa kutotaja ukomo kuhusu Ushirikiano katika Uendeshaji, Uendelezaji na Uboreshaji wa Bandari zote za Baharini na Maziwa zilizopo Tanzania Bara
Mkataba umeibua maswali ambayo hayajapatiwa ufafanuzi wa kina ikiwemo thamani na muda wa uendeshaji pamoja na sababu za Tanzania kuingia mkataba na kampuni inayotajwa katika kesi za ukwepaji kodi na migogoro katika utekelezaji mikataba huku baadhi ya Nchi zikiikataa kampuni hiyo.
Je, unaufahamu kiasi gani Ushirikiano wa DP-World na Bandari?
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa anawasilisha Pendekezo la Kuridhiwa kwa Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa anawasilisha Pendekezo la Kuridhiwa kwa Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai kwa lengo la kuanzisha Ushirikiano wa Kiuchumi na Kijamii katika Uendelezaji wa Maeneo ya Bandari Nchini, leo Juni 10, 2023
Prof. Mbarawa anasema "Pamoja na kuchukua hatua mbalimbali za maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam, bado ufanisi katika utoaji Huduma za haujafikia viwango vinavyotakiwa kimataifa.”
Anaongeza “Hali ya sasa ya utendaji imeendelea kuwa ya kiwango cha chini ikilinganishwa na Bandari shindani kikanda. Kwa mfano, wastani wa meli kusubiri nangani kwa Bandari ya Dar es salaam ni Siku 5 ikilinganishwa na Siku 1.25 kwa Bandari ya Mombasa na siku 1.6 kwa Bandari ya Durban.”
Mbna afadhari ya sinema zetu, hapo ni Chanel ya cartoonsHili ni Bunge au sinema zetu?
Hatuna bunge tangu 2020, kuna kikundi cha mafisadi walioteuliwa na Magufuli ambao hawawezi kutetea maslahi ya nchi bali matumbo yao tuAzimio la Bunge kuhusu Pendekezo la Kuridhiwa Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai kwa lengo la kuanzisha Ushirikiano wa Kiuchumi na Kijamii katika Uendelezaji wa Maeneo ya Bandari Nchini leo Juni 10, 2023.
======
Leo Juni 10, 2023, Bunge la Tanzania linatarajia kujadili mkataba kati ya Serikali na Kampuni ya DPWorld unaodaiwa kutotaja ukomo kuhusu Ushirikiano katika Uendeshaji, Uendelezaji na Uboreshaji wa Bandari zote za Baharini na Maziwa zilizopo Tanzania Bara
Mkataba umeibua maswali ambayo hayajapatiwa ufafanuzi wa kina ikiwemo thamani na muda wa uendeshaji pamoja na sababu za Tanzania kuingia mkataba na kampuni inayotajwa katika kesi za ukwepaji kodi na migogoro katika utekelezaji mikataba huku baadhi ya Nchi zikiikataa kampuni hiyo.
Je, unaufahamu kiasi gani Ushirikiano wa DP-World na Bandari?
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa anawasilisha Pendekezo la Kuridhiwa kwa Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa anawasilisha Pendekezo la Kuridhiwa kwa Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai kwa lengo la kuanzisha Ushirikiano wa Kiuchumi na Kijamii katika Uendelezaji wa Maeneo ya Bandari Nchini, leo Juni 10, 2023
Prof. Mbarawa anasema "Pamoja na kuchukua hatua mbalimbali za maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam, bado ufanisi katika utoaji Huduma za haujafikia viwango vinavyotakiwa kimataifa.”
Anaongeza “Hali ya sasa ya utendaji imeendelea kuwa ya kiwango cha chini ikilinganishwa na Bandari shindani kikanda. Kwa mfano, wastani wa meli kusubiri nangani kwa Bandari ya Dar es salaam ni Siku 5 ikilinganishwa na Siku 1.25 kwa Bandari ya Mombasa na siku 1.6 kwa Bandari ya Durban.”
Ule upuuzi ndio ameusaini? Aiseee…kwanini haihusishi zanzibar? Au zanzibar hawahitaji maendeleo?Mama kasaini mkataba wa ushirikiano na maendeleo kwa ajili ya Tanzania nzima, mwisho wa siku kila mamlaka ina uhuru wa utekelezaji.
Bogus number moja ni wewe!Mbowe ni bogus.
boomerangMbna afadhari ya sinema zetu, hapo ni Chanel ya cartoons
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lile ni genge la wahuniHatuna bunge tangu 2020, kuna kikundi cha mafisadi walioteuliwa na Magufuli ambao hawawezi kutetea maslahi ya nchi bali matumbo yao tu
Ikishamwagika anayenufaika zaidi ni nami? Hoja si kwamba DP world wasipewe bandari nadhani waliowengi watakuwa wanakubali kuwa bandaro yetu ilihitaji kuendeshwa na wati wenye ujuzi na resources hakuna shaka juu ya hilo kwa DP world. Shida kelele hizi ni aina ya mkataba. Kama DP world kupewa bandari zilikiwepo toka mwaka jana na hakukuwa na kelele, kelele zimekuja baada ya vipengele ambavyo havieleweki kikiwemo cha kesi kuamuliwa S.A wakati ni juzi juzi tu bunhe hilihili lilipitisha kesi kuamuliwa hapa.Mkuu tuache utani DPworld wako vizuri mizigo itamwagika sijui kama hiyo Mandela Road itapitika.
Wasikilize tu ili wakati ujao update namna ya kuwaadamisha kwa kadri Mwenyezi Mungu atakavyokupa uwezo.Napoteza imani nao.
Hawezi kupewa nafasi.Mpina akisimama nistueni.
Achana na habari za Mama, hata sharia hairuhusu, huyu ni Raisi wenu na sio Mama Yako! Usitafute sympathyMama kasaini mkataba wa ushirikiano na maendeleo kwa ajili ya Tanzania nzima, mwisho wa siku kila mamlaka ina uhuru wa utekelezaji.
Unaish dar ipiDar na umeme wamekata tayari .... nchi ngumu sana
Huna akiliKumbe ilikua propaganda tu.