yupo mmoja anaitwa FaizaFoxy yuko nyuma hpo bungeni kulia kavaa ushungi na miwani yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wataje
Safi sana, ndiyo maana leo kwa mara ya kwanza tunaona mkataba wa ushirikiano wenye maslahi kwa Taifa kuliko wakati wowote ule.Bogus number moja ni wewe!
Wanaona hatuna cha kufanya kama wananchi. Shame on them!Wanatudharau sana aisee.
Amaaa! hatari hiiMifumo yote itayowekwa na DP World itasomana na Taasisi zote za Serikali
Faiza stop hizi nonsense, Kwa level Yako wewe sio wa kuongea upumbavu kama huu, labda kama na wewe una maslahi! Tumia kichwa kufikiriaSafi sana, ndiyo maana leo kwa mara ya kwanza tunaona mkataba wa ushirikiano wenye maslahi kwa Taifa kuliko wakati wowote ule.
Ule hauvunjiki, imeelezwa wazi sana na Wala kukiwa na diplomatic disputes au under performance, Bado huwezi kuvunja huo mkatabaKwa maelezo yao unaweza kuvunja, natamani wasome hivyo vifungu na waeleze unawezaje kuvunja.
Uchambuzi ni wa kisiasa zaidi kuliko utaalamu.
Mkisusa ACT anachukua sehemu yake.
Kwani Zanzibar kuna kura ngapi 😂😂😂Mbowe kaguswa sana kwa sababu ya uropokaji wake kuhusu Zanzibar na Uzanzibar
Hiyo ni taasisi ila inatumia I'd ya kike.Faiza stop hizi nonsense, Kwa level Yako wewe sio wa kuongea upumbavu kama huu, labda kama na wewe una maslahi! Tumia kichwa kufikiria
Kipindi Cha Magu FaizaFoxy alipotea kabisaHiyo ni taasisi ila inatumia I'd ya kike.
Hizi Mahakama za CCM nani aziamini? zimeshindwa kuwaondoa Wabunge haramu 19 waliofukuzwa Bungeni zinamsubiri Mwenyekiti wa CCM aziamrishe.lilipitisha kesi kuamuliwa hapa.
Wewe ni mwehu!Dubai uchumi wake 100% unategemea sekta binafsi kwa biashara na kwa asilimia 90 au zaidi unategemea bandari zake.
Mama kaona mbali sana. Apongrzwe.