Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Hahaha mbunge anasema kifungu cha 23 kina ruhusu kuvunjika kwa mkataba!
Lakini mwisho anajarubu kueleza jinsi ambavyo tunaweza kuvunja mkataba lakini bado anashindwa…yani mkataba huu ni kweli hauvunjwi kamwe ni kusuluhishwa kwa kwenda mbele…
Na yeye anathibitisha pasi na shaka kuwa tulichokuwa tunajadili huku ni cha kweli 😂😂😂😂😂😂
Lakini mwisho anajarubu kueleza jinsi ambavyo tunaweza kuvunja mkataba lakini bado anashindwa…yani mkataba huu ni kweli hauvunjwi kamwe ni kusuluhishwa kwa kwenda mbele…
Na yeye anathibitisha pasi na shaka kuwa tulichokuwa tunajadili huku ni cha kweli 😂😂😂😂😂😂