Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Naona umuhimu wa wapinzani kuwapo bungeni, Magufuli umetuletea balaa kwa kupitisha pitisha wabunge wa ccm kwa mabavu
Wabunge wenyewe vilaza kama kina babu......aibu tupu.

Lengo la Jiwe lilikuwa ni nn hasa kupitisha watu wale kuwa wagombea na kuwa Wabunge? Mbaya zaidi ni kuhakikisha Bunge kuwa ni la Chama kimoja na alilenga nn hasa kwenye hilo?? Huu upuuzi unaoendelea hivi sasa chimbuko lake yaweza kuwa ni yeye mwenyewe. Kwanini Msukuma kawa kinara wakulitetea??
 
Sasa halima mdee akili imerudi
 
Mimi mbunge wangu simlaumu sababu najua ni darasa la nne hivyo haya mambo kwake ni makubwa sana. Uchaguzi wa 2020 unatuletea shida sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona wanamkatisha Mdee kila muda
 
Namwona Mpina kwa mbali akiwa ananukuu kipengele kwa kipengele.

Atakaposimama tu anasambaratisha Bunge zima.
 
Za South Afrika je ambazo zimeshindwa kumwajibisha zuma kwa kuwakabidhi nchi wale wahindi ndizo zitaweza hili. Narudia tena hapa shida ni vipengele au kutoelewa kwa wananchi. Na sioni shida kwanini wizara isingeleta wataalamu wakafanya mdaharo hata ITV wakafafanua na watu wakauliza maswali kuliko mara tutawachukulia hatua mara msigwa ajichangamye figures.
Inawezekana ni wananchi kutoelewa masuala ya kitaalam sasa ni juku la serikali kuwaelewesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…