Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Kwanza mkataba wa Bomba la mafuta niwausafirishaji tu kama Bomba la mafuta Zambia na reli ya TAZARA ila swala la Bandari ni kukabizi sisi tuondoke kwenye majukumu ya usimamizi waingie waarabu.
 
Mimi (Involved) ni mgeni sana kwenye haya mambo ya mikataba ya kimataifa! Ila swali langu ni moja tuu, baada ya Bunge letu kupitisha muswaada huu kwa maelezo mazuri.

Je kwa upande wa mwekezaji nao bunge la huko (baraza la mapinduzi ya Dubai) nao walikaa kujadili hoja ya kuja kuwekeza Tanzania!

Naomba mwenye majibu ya Kitaalamu atujulishe kwa hilo !!!!!
 
Wao wanajiita wazanzibar
Wana serikali yao
Wana nchi yao
Wana kila kitu chao
Wana vitambulisho vyao
Wanajitambulisha kama wazanzibar kokote duniani
Ni wakati kula RASILIMALI ZA TANGANYIKA PEKEE NDIO WANAJIITA WATANZANIA WAKISHIBA wanaendelea kujitambulisha kama Wazanzibar
 


Eti serikali haijalipia
si bora tu ingelipia cash kuliko hili waloenda kulifanya?
unafurahia ofa bila kujua inreturn watahitaji nini
Kusaini mikataba 37 ndani ya siku 1
then tunahjisifu hapa
 
Mm ninaamini hapa sio bungeni ni mnadani.
 
Jibu hapana, sisi tulienda kuwaambia wane kuwekeza. Wao wametoa msharti yao, hayo masharti ili yasifungamane na Sheria za ndani ndio inabidi bunge kuridhia(ratification)
 
Nape ameshindwa kujibu hoja ya Mbowe kuwa kwanini bandari za Zanzibar kwanini hazijahusishwa? Nape alivyo mjinga eti wanapanga kumuadhibu Mbowe….mpuuzi huyu…

Nape ni mjinga kabisa kuwai kutokea eti anamtisha Mbowe hahaha
Nape ni mshamba tu wa lindi huko hana uwezo na hawez kumtisha freeman mbowe mtoto WA mjini born town wa kitambo. Nape ni mwendawazimu tu
 
Niwaulize ndugu zangu Watanganyika,Je kwani hakuna Zanzibar na wazanzibar ??

Je Zanzibar hawana nchi yao na serikali yao ??

Katiba yao ndio msingi wa kujibagua
Hakuna mtanganyika mbaguzi bali ni wazanzibar ndio wanajibagua kwa kila kitu kwa mujibu wa katiba yao wenyewe,Someni katiba ya Zanzibar.
 
Mkuu wao ni kufanya sherehe tu utaskia habibi come to Dubai, maana wanajua wabongo tumeingia cha kike wanakuja kuvuna tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…